Imbuki ya kahayile kenako ilolile kogele ka ngoko. Ingoko ulu iloga igabulugutaga duhu nulu mamab’u, nulu mumasalu yamala ugoga kunguno ya bhujidadilila bhoyo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagaihayaga giki, “mbulugutya tunde.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu nsoso uyo agogaga b’o gwiyisila minzi duhu wangu wangu na amalaga, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na mako mingi umumili gokwe ayo adagejaga umubhoji bhokwe ubho gwiyisila minzi na guswala myenda, kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gwidilila chiza umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agakoyiyagwa na sata ijagwenhwa na bhusoso aha kaya yakwe kunguno ya gukija gwidilila chiza, umubhogi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ngoko iyo igogaga bho gwibugulutya mumab’u nulu umumasalu duhu yamala, kunguno nuweyi agiisilaga minzi duhu umumili gokwe na omalaga goga bho nduhu ugwiyeja amako, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunaagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mbulugutya tunde.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho goga na widiliji wiza mpaga gashila amako gabho, kugiki bhadule gujipeja isata ijagwenhelejiwa na bhusoso umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.
1Wafalme 8:47.
Mathayo 3:1-2.
Marko 1:45.
Wakolosai 3:1-2.
KISWAHILI: UGAAGAAJI WA KUKU.
Chanzo cha msemo huo huangalia ugaagaaji wa kuku. Kuku akitaka kuoga hujigalagaza kwenye mchanga au kwenye majivu tu anamaliza kuoga kwa sababu ya kutokujijali kwakwe. Ndiyo maana watu huuita uogaji wake huo kuwa ni “ugaagaaji wa kuku.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mchafu anayeoga kwa kujimwagia maji tu anamaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi na uchafu mwingi mwilini mwake ambao huwa hausafishi vizuri katika uogaji wake huo wa kujimwagia maji mwilini tu anamaliza, kwa sababu ya kukosa umakini wa kujijali vizuri maishani mwake. Yeye husumbuliwa na magonjwa yatokanayo na uchafu kwenye familia yake kwa sababu ya kutosa umakini huo wa kuoga vizuri katika maisha yake hayo.
Mtu huyo hufanana na yule kuku anayeoga kwa kujigalagaza tu kwenye mchanga anamaliza, kwa sababu naye hujimwagia maji tu mwilini mwake anamaliza kuoga, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuitaji kwamba ni “ugaagaaji wa kuku.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na kumakini wa kuoga kwa kujijali vizuri mpaka wanakuwa safi, ili waweze kujikinga na magonjwa yatokanayo na uchafu, katika familia zao, maishani mwao.
1Wafalme 8:47.
Mathayo 3:1-2.
Marko 1:45.
Wakolosai 3:1-2.
ENGLISH: CHICKEN’S PLAYING WITH DUST.
The origin of the over head saying looks at the debauchery of chickens. When chicken want to bathe, only debaucheries in the sand or ashes and finish bathing because of lack of self-care. That is why people call such debauchery as “Chicken’s playing with dust.”
This saying is equaled to a dirty person who bathes by pouring water on him/herself and finishes. This person lives with a lot of dirt in his body that does not clean properly in his bath of pouring water on himself because of a lack of attention to taking respectable care of himself in his life. He is troubled by diseases which are caused by dirt in his family because of such lack of responsiveness to bathing properly in his life.
This person is like the hens which bathed by pouring water only by water without nicely cleaning, because he also pours water on his body and finishes bathing, in his life. That is why people call him as “Chicken’s playing with dust.”
This proverb teaches people about being careful enough to bathe and take respectable care of themselves until they are clean, so that they can protect themselves from diseases which are caused by dirt, in their family lives.
1 Kings 8:47.
Matthew 3:1-2.
Mark 1:45.
Colossians 3:1-2.

