Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo ja Wimate. Umunhu ng’wunuyo agikenya na ng’wiye uyo bhali bhuzenganwa nanghwe kunguno ya gwishogeja shib’i. Uweyi agiyangula gulomba bhulekejiwa ukuli ng’wiye ng’wunuyo. Hunagwene agayomba giki, “nasugambaga nasumbyaga makono.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina widohya bho gulomba bhulekejiwa ulu ohubhaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agalombaga bhulekejiwa ulu widumaga nabhiye kunguno ya widohya bhokwe bhunubho ubho gwikala chiza nabhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe kunguno ya widohya bhokwe ubho gwikala chiza na bhanhu bhakwe bhunubho, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalomba bhulekejiwa aho widuma nu nzenganwa okwe, kunguno nuweyi alina widohya bho kulomba bhulekejiwa ukubhiye ulu widumaga nabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene agayombaga giki, “nasugambaga nasumbyaga makono.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gwikala na bhanhu chiza na gulomba bhulekejiwa ukubhichabho ulu bhidumaga nabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.
Hebabu 14:19.
Zaburi 78:38.
Mathayo 6:12.
Mathayo 6:15.
Luka 15:3-7.
Luka 17:4.
KISWAHILI: NIMEPIGA MAGOTI NAKUFUMBA MIKONO.
Alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji cha Wimate. Mtu huyo aligombana na mwenzake aliyekuwa jirani yake kwa sababu ya kujibizana vibaya. Yeye aliamua kuomba msamaha kwa mwenzake huyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimepiga magoti nakufumba mikono.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyeyekevu wa kuomba msamaha anapokosea, katika maisha yake. Mtu huyo, huomba msamaha anapokesana na wenzake kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuishi vizuri na wenzake, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuishi vizuri na watu wake, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeomba msamaha alipokosana na jirani yake, kwa sababu naye ana unyenyekevu wa kuomba msamaha kwa wenzake anakosana nao. Ndiyo maana husema kwamba, “nimepiga magoti nakufumba mikono.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuishi na watu vizuri na kuomba msamaha kwa wenzao wanakosana, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Hebabu 14:19.
Zaburi 78:38.
Mathayo 6:12.
Mathayo 6:15.
Luka 15:3-7.
Luka 17:4.
ENGLISH: I HAVE KNELT DOWN AND FOLDED MY HANDS.
There was a man who lived in the village of Wimate. This man had a fight with his neighbor because of evil argument. He decided to apologize to his neighbor. That is why he said that, “I have knelt down and folded my hands.”
This saying is related to a person who has humility to apologize when he makes a mistake in his life. Such person apologizes when he makes a mistake with his friends because of his humility to live well with his friends in his life. He takes virtuous care of his family because of his humility to live well with his people in his life.
This person is like the one who apologized when he made a mistake with his neighbor, because he also has the humility to apologize to his friends with whom he makes a mistake. That is why he says that, “I have knelt down and folded my hands.”
This saying teaches people about being humble by living well with people and asking for forgiveness from their earls who have differences, so that they can raise their families well, in their lives.
Hebrews 14:19.
Psalm 78:38.
Matthew 6:12.
Matthew 6:15.
Luke 15:3-7.
Luke 17:4.

