Akahayile kenako kahoyelile bhanhu abho bhali bhabhilingwa gujutumama nimo ng’wa munhu uyo uliobhalalika. Abhanhu bhenabho bhagaja bhugatumama unimo guniyo kunguno ya kikalile kabho kiza na bhichabho. Abhoyi aho bhalishoka bhagayubhujiwa na bhanhu abho bhatung’wanaga nabho kunguno ya kutogwa gudebha abho bhagutumamaga unimo gunuyo. Hunagwene abhanhu bhenabho abhabhuja giki “ng’walib’anga?”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhilingagwa gujuntumamila Yesu bhagantumamila chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagantumamilaga chiza uYesu bho gwikala chiza na bhichabho kunguno ya guntugwa Yesu, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga na buyeji umukaya jabho kunguno ya guzunya guntumamila Yesu chiza, umukikalile kabho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagabhilingwa gujutumama nimo bhugagutumama chiza, kunguno nabho bhagantumamilaga chiza uYesu uyo obhitana bho gwikala chiza na bhanhu umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhadililaga abhanhu bho gubhuja giki, “ng’walib’anga?”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gunzunya Yesu bho gwiyambilija kutumama milimo chiza na bhichabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gubhashisha Ng’wigulu.
Zakaria 3:10.
Kumbukumbu la Torati 30:15-16.
Mathayo 22:3-4.
Ufunuo 19:9.
KISWAHILI: MLIKUWA WANGAPI?
Msemo huo huongelea watu wale walioalikwa kufanya kazi kwa mtu aliyewaalika. Watu hao walienda kuifanya vizuri kazi hiyo kwa sababu ya kupenda kuishi na wenzao vizuri. Wao waliulizwa na watu walipokuwa wakirudi juu ya utekelezaji wa kazi yao kwa sababu ya kutaka kuwaelewa wale walioitikia wito huo. Ndiyo maana wao waliuliza kwamba, “mlikuwa wangapi?”
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale walioalikwa kumtumikia Yesu wakaitekeleza vizuri kazi hiyo, katika maisha yao. Watu hao humtumikia Yesu vizuri kwa kuishi na wenzao vizuri kwa sababu ya kumpenda Yesu, maishani mwao. Wao huiishi kwa furaha kwenye familia zao kwa sababu ya kumwamini Yesu vizuri, katika maisha yao.
Watu hao, hufanana na wale walioalikwa kufanya kazi ya mtu fulani wakaitekeleza vizuri, kwa sababu nao humtumikia vizuri Yesu aliyewaita kwa kuishi na watu vizuri, maishani mwao. Ndio maana huwajali watu kwa kuwauliza kwamba, “mlikuwa wangapi?”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kumwamini Yesu kwa kushirikiana kufanya kazi vizuri na wenzao, ili waweze kupata Baraka za kuwafikisha mbinguni.
Zakaria 3:10.
Kumbukumbu la Torati 30:15-16.
Mathayo 22:3-4.
Ufunuo 19:9.
ENGLISH: HOW MANY WERE YOU?
This saying refers to people who were invited to work for someone who invited them. Those people went to do a job well because they liked to live well with their nobles. They were asked by people when they returned an implementation of their works because they wanted to understand a number of those who responded to the call. That is why they asked that, “How many were you?”
This saying is equated to people who were invited to serve Jesus and carried out that work well, in their lives. Those people serve Jesus well by living well with their dukes because they love Jesus, in their lives. They live it happily in their families because they nicely believe in Jesus in their lives.
These people are similar to those who were invited to do someone else’s work and carried it out well, because they also serve Jesus who called them well by nicely living with people, in their lives. That is why they do not care about people by asking them that, “How many were you?”
This saying imparts in people an idea of of believing in Jesus by working together well with their nobles, so that they can receive blessings that will take them to heaven.
Zechariah 3:10.
Deuteronomy 30:15-16.
Matthew 22:3-4.
Revelation 19:9.



