Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhesi bha lisolo. Abhesi bha lisolo bhenabho bhalyesaga ilisolo linilo bho gwikinda kunguno ya gutogwa gujimija likanza lyabho muligusha linilo. Hunagwene bhagikomelejaga gwiza gwesa bho guyomba giki, “nzugi dulilume.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagaligusijaga ilikanza lyabho bho gutumama milimo iyo idina solobho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagaligusijaga sagala ilikanza lyabho bho gutumama milimo iyo idina solobho umukaya jabho kunguno ya bhugokolo bho milimo bhobho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhukoya na nzala umukaya jabho kunguno ya bhugokolo bhobho ubho guligusija sagala ilikanza lyabho, umukikalile kabho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhesi bhi solo abho bhaligusijaga ilikanza lyabho mpaga bhaleka imilimo yabho, kunguno nabhoyi bhagaligusijaga sagala ilikanza lyabho bho gutumama milimo iyo idina solobho umukaya jabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagikomelejaga gwesa bho guyomba giki, “nzugi dulilume.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka guligusija sagala ilikanza lya milimo yabho bho gutumama milimo iyo idina solobho, kugiki bhadule gutumama milimo iyo ili na solobho umukaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
1Wakorintho 11:17.
Wafilipi 3:7.
KISWAHILI: NJOONI TULIUME.
Chanzo cha msemo huo huongelea bhacheza bao. Wacheza bao hao hulicheza bao hilo kwa kushindana kwa sababu ya kupenda kupoteza muda wao katika mchezo huo. Ndiyo maana watu hao huhimizana kucheza kwa kusema kwamba, “njooni tuliume.”
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao huuchezea muda wao kwa kufanya kazi zisizo na faida kwenye familia zao, katika maisha yao. Watu hao huuchezea hovyo muda wao wa kufanya kazi zisizo na faida kwao badala ya kuutumia muda huo kufanya kazi zenye manufaa kwao, kwa sababu ya uvivu wao huo wa kazi, maishani mwao. Wao husumbuliwa na tatizo la njaa kwenye familia zao kwa sababu ya uvivu wao wa kazi, kwa kuuchezea hovyo muda wao wa kufanya kazi, katika maisha yao.
Watu hao, hufanana na wale wacheza bao waliouchezea muda wao katika mchezo huo badala ya kufanya kazi zenye faida kwao, kwa sababu nao huuchezea hovyo muda wao kwa kufanya kazi zisizo na manufaa kwenye familia zao, maishani mwao. Ndiyo maana wao huhimizana kuuchezea muda wao kwa kusema kwamba, “njooni tuliume.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kuuchezea muda wao wa kufanya kazi kwa kufanya kazi zisizo na manufaa kwao, ili waweze kufanya kazi zenye manufaa kwenye familia zao, maishani mwao.
1Wakorintho 11:17.
Wafilipi 3:7.
ENGLISH: “COME, LET US WORK TOGETHER.”
The origin of this saying refers to traditional game player. These people play the traditional game by competing with each other because they like to waste their time in the game. That is why these people encourage each other to play by saying that, “Come, let us work together.”
This saying is related to those people who waste their time by doing useless things in their families. These people waste their time by doing those useless things instead of using that time for doing useful works for them, because of their laziness in their lives. They are troubled by difficult of hunger in their families because of their laziness of wasting their time in their lives.
These people are similar to those traditional game players who wasted their time by doing playing that game instead of doing useful works for them, because they also waste their time by doing useless things for their families, in their lives. That is why they encourage each other to waste their time by saying, “Come, let us work together.”
This saying imparts in people an idea of stopping wasting their working time by doing works which are not beneficial to them, so that they can do useful works in their family lives.
1 Corinthians 11:17.
Philippians 3:7.



