1404. YOLECHAGA MALUNDE.
Bhalihoyi bhalimi umuchalo ja Nzega. Abhalimi bhenabho bhali bhadebhile imeng’ho ja likanza lya gwandya ugulima kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho. Abhoyi bhalolaga malunde ulu bhagabhona bhamanaga igiki lyashigaga ilikanza lya jidiku kunguno ya kutogwa kuyandya chiza imiliimo yabho. Hunagwene bhikomikaga gwandya gulima ulu bhajibhona imenng’ho jinijo bho guyomba giki, “yolechaga malunde.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalidebhile chiza ilikanza lya guitumama imilimo yabho yiniyo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagandyaga gutumama milimo yabho ulu lyashiga duhu ilikanza lya milimo yiniyo iyo bhagayitumama mpaga bhayimala chiza, kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi noyi umukaya jabho jinijo, kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho umukikalile kabho kenako.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhalimi abho bhalibhalidebhile chiza ilikanza lya gwandya ugulima ulu yegelela ugutula imbula, kunguno nabhoyi bhagayitumamaga imilimo yabho mpaga bhayimala ulu lyashigaga ilikanza lya milimo yiniyo, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “yolechaga malunde.”
Akahayile kenako kalanga bhatumami bha milimo higulya ya gubhiza na witegeleja bho guitumama chiza imilimo yabho ulu lyashiga ilikanza lyayo kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.
Luka 10:1-2.
Mathayo 3:1-3.
Mathayo 6:33.
KISWAHILI: IMEONESHA MAWINGU.
Walikuwepo wakulima kwenye kijiji cha Nzega. Watu hao walizielewa alama za kuanza kulima kwa sababu ya umakini wao. Wao waliangalia mawingu ya mvua yalipoonekana walielewa kwamba umefika muda wa masika, kwa sababu walitaka kuanza vizuri kazi zao. Ndiyo maana walipoyaona mawingu hayo walihimizana kuanza kulima kwa kusema kwamba, “imeonesha mawingu.”
Msema huo hulinganishwa kwa watu wanaouelewa vizuri muda wa kuanza kazi zao hizo, katika kazi zao. Watu hao, huanza kuyatekeleza majukumu yao mpaka wanayamaliza vizuri unapofika tu muda wake, kwa sababu ya umakini wao huo, maishani mwao. Wao hupata mali nyingi sana katika familia zao kwa sababu ya umakini wao huo, katika maisha yao.
Watu hao hufanana na wale waliouelewa vizuri muda wa kuanza kulima inapokaribia mvua kunyesha, kwa sababu nao huyatekeleza majukumu yao unapofika muda wake wa kuyaanza majukumu hao, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “imeonesha mawingu.”
Msemo huo, hufundisha wafanyakazi juu ya kuwa na umakini wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao unapofika muda wake ili waweze kupata mali nyingi kwenye familia zao, maishani mwao.
Luka 10:1-2.
Mathayo 3:1-3.
Mathayo 6:33.
ENGLISH: IT HAS SHOWN CLOUDS.
There were farmers in a village of Nzega. Those people understood signs of starting farming because of their attentiveness. They looked at rain clouds and understood that it was time for rainy season, because they wanted to start their works well. That is why when they saw clouds they encouraged each other enough to start farming by saying, “it has shown clouds.”
This saying is related to people who understand well the time of starting their works, in their economic activities. Those people, start carrying out their duties until they finish them well when such time comes, because of their attentiveness, in their lives. They earn a lot of wealth in their families because of their attentiveness, in their lives.
These people are similar to those who understood well the time of starting farming when the rain is about to fall, because they also carry out their duties when the time comes to start those duties, in their lives. That is why they say, “it has shown clouds.”
This saying teaches workers of about being careful enough to fulfill their duties well when the time comes so that they can obtain a number of treasures for their families, in their lives.
Luke 10:1-2.
Matthew 3:1-3.
Matthew 6:33.

