1397. OLALILA UYU.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo ja Sanjo. Umunhu ng’wunuyo, ujimalaga wangu ijiliwa jakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gujilanhana chiza umukikalile kakwe kenako. Uweyi wikalaga na bhusunduhasi kunguno ya gugayila jilliwe aha kaya yakwe mpaga olala bho nduhu gulya jiliwa aha ng’wakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “olalila uyu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagara isabho ijo agajipandikaga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo apajipandikaga isabho jakwe ujitumamila sagala bho gujigulia majikolo ayo gadina solobho aha kaya yakwe, kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gujitumamila chiza isabho jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agajimalaga isabho ijo agajipandikaga mpaga oyulala nzala aha kaya yakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gujilanhana chiza isabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ojimalaga wangu ijiliwa jakwe mpaga olala bho nduhu gulya jiliwa aha kaya yakwe, kunguno nuweyi agajimalaga bho gujitumamila sagala isabho jakwe mpaga olala bho nduhu gulya jiliwa, aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “olalila uyu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilanhana chiza isabho ijo bhagajipandikaga, kugiki bhadule gwikala na jiliwa ja gulya chiza umukaya jabho.

Mwanzo 41:54.

Luka 12:16-18.

Mathayo 6:25-26.

KISWAHILI: KALALA NJAA HUYU.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji cha Sanjo. Mtu huyo, alikuwa akikimaliza haraka chakula alichokipata kwa sababu ya kukosa umakini wa kuvitunza vizuri vyakula hivyo. Yeye alikuwa na huzuni kwa sababu ya kukosa chakula kwenye familia yake hiyo mpaga akafikia hatua ya kulala bila kula chakula, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kalala njaa huyu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia hovyo mali anazozipata, katika maisha yake. Mtu huyo, hupata mali zake na kuzitumia hovyo kwa kuzinunulia vitu visivyo na faida kwenye familia yake, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuzitumia vizuri mali zake hizo, maishani mwake. Yeye huzimaliza mali zake hiyo mpaka anafikia hatua ya kulala bila kula chakula kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuzitunza vizuri mali anazozipata, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyekimaliza haraka chakula chake mpaka akafikia hatua ya kulala bila kula chakula katika familia yake hiyo, kwa sababu naye huzitumia hovyo mali zake mpaka anaishiwa na kulala bila kula chakula katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kalala njaa huyu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitunza vizuri mali zao, ili waweze kuwa na chakula cha kutosha kula vizuri, katika familia zao.

Mwanzo 41:54.

Luka 12:16-18.

Mathayo 6:25-26.

ENGLISH: THIS ONE HAS SLEEP HUNGRY.

Once upon a time, there was a man who lived in the village of Sanjo. That man used to quickly finish food which he got because he was not careful enough to take decent care of it. He was so sad because of food shortage in his family that he went to bed without eating food in his life. That is why people said about him that, “This one has slept hungry.”

This saying is compared to a person who spends his money in a wasteful way. This person earns his money and spends it in a wasteful way by buying useless things for his family, because he is not careful enough to take virtuous care of the money which he gets, in his life. He spends his money until he reaches the point of going to bed without eating food in his family, because of not being careful enough to take decent care of his money in his life.

This person is like the one who quickly finished his food until he reached the point of going to bed without eating food in his family, because he also spends his wealth in such a way that he runs out and goes to bed without eating food in his family, in his life. That is why people say about him that, “this one has slept hungry.”

This saying imparts in people an idea of being careful enough to take respectable care of their wealth, so that they can have enough food to eat, in their families.

Genesis 41:54.

Luke 12:16-18.

Matthew 6:25-26.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.