Olihoyi munhu uyo oling’wi o walwa uyo ob’ung’waga noyi umkikalile kakwe. Uwalwa bhunubho bhugagubhakijaga umili gokwe kunguno ya bhukoji bhobho bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agakumuka noyi umuchalo jakwe kunguno ya bhung’wi bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayibhuja nose giki, “ni b’uli alib’akija?”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagukenagulaga umili gokwe bho gwita mihayo iyo igang’wenhelaga makoye, umukikalile kakwe. umunhu ng’wunuyo, agalyaga jiliwa mpaga osata kunguno ya gugayiwa witegeleja umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agagulab’ulaga umili gokwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho umukatumamile ka jikolo jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ong’waga walwa mpaga ogulabhula umili gokwe, kunguno nuweyi agalyaga jiliwa ja gugukenagula umili gokwe umikikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki “ni b’uli alib’akija?”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza ijikolo jabho, kugiki bhadule guyilanhana chiza imimili yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.
Mwanzo 9:21.
Ayubu 3:17.
KISWAHILI: KWA NINI UNAJIUNGUZA?
Alikuwepo mtu aliyekuwa mlevi wa pombe kali katika maisha yake. Pombe hiyo iliuharibu mwili wake kwa sababu ya ukali wake huo. Mtu huyo, alijulikana sana kwenye kijiji chake kwa sababu ya ulevi wake huo. Ndiyo maana watu walimuuliza kwamba “kwa nini anajiunguza?”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huudhuru mwili wake kwa kutenda matendo ambayo humletea matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hula chakula kupita kiasi mpaga anaugua kwa sababu ya kukosa umakini wa kuwa na kiasi maishani mwake. Yeye huuharibu mwili wake huo kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuwa na kiasi katika matumizi ya vitu vyake katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyelewa pombe kali mpaka akaiharibu afya yake, kwa sababu naye hula chakula kupita kiasi mpaka anaugua, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “kwa nini anajiunguza?”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvitumia vitu vyao kwa kiasi kizuri, ili waweze kuzilinza vizuri afya zao, katika maisha yao hayo.
Mwanzo 9:21.
Ayubu 3:17.
ENGLISH: WHY DO YOU HURT YOURSELF?
There was a man who was a heavy drinker of alcohol in his life. The alcohol destroyed his body because of its intensity. Such man became so well known in his village because of his alcoholism. That is why people asked him that, “Why do you hurt yourself?”
This saying is equaled to a person who harms his body by doing deeds that cause him hitches in his life. This man eats too much food to the point of getting sick because of a lack of attention to moderation in his life. He destroys his body because of his lack of attention to such moderation in using of his belongings in life.
This man is similar to a person who drank too much alcohol to the point of ruining his health, because he also eats too much food until he gets sick, in his life. That is why people ask him that, “Why do you hurt yourself?”
This saying teaches people about being so careful enough to use their possessions in the right way, so that they can take respectable care of their health in their lives.
Genesis 9:21.
Job 3:17.

