1395. LYAGI NAWE DUHU.

Olihoyi nigini uyo wikalaga aha kaya ya bhasab’i. Unigini ng’wunuyo agahaya gujulya na bhanhu bhatale aho jatengwa ijiliwa kunguno oliatuubhile. Abhanhu bhagayunemeja ugujilya ijiliwa jinijo kunguno jali jabhatale. Hunagwene unamhala oha kaya yiniyo agabhawila giki, “lyagi nawe duhu.”

Akakayile kenako kagalenganijiyagwa ku kaya ya bhanhu abho bhalibhizanholo umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagabhakaribhushaga pye abhanhu bhajilya ijiliwa jabho ulu japyaga kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga mbango ja gwikala bho mholele na bhanhu bhabho aha kaya yabho yiniyo, kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho.

Ikaya ya bhanhu bhenabho igikolaga nu namhala uyo olyaga na bhanigini ijiliwa jakwe ulu japyaga, kunguno nabhoyi bhagabhakaribhushaga pye abhanhu bhajilya ijiliwa jabho ulu japyaga, aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “lyagi nawe duhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhambilija abhichabho abho bhalina makoye, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho jinijo.

Yahone 6:31-33.

Mathayo 25:35.

Yohane 6: 55-56.

KISWAHILI: MLE NAYE TU.

Alikuwepo mtoto aliyekuwa akiishi kwenye familia tajiri. Mtoto huyo, alitaka kula na watu wazima kilipowekwa mezani chakula chao kwa sababu alikuwa na njaa. Watu walimzuia kukila chakula hicho kwa sababu kiliwa cha watu wazima. Ndiyo maana mzee wa familia hiyo aliwaambia kwamba, “mle naye tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa familia ya watu wale ambao ni wakarimu katika maisha yao. Watu hao huwakaribisha watu wote kula chakula chao kinapoiva kwa sababu ya ukarimu wao huo, maishani mwao. Wao hupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa katika familia yao, kwa sababu ya ukarimu wao huo katika maisha yao.

Familia ya watu hao, hufanana na yule mzee aliyekula chakula chake pamoja na watoto kilipoiva, kwa sababu nao huwakaribisha watu wote kula chakula chao kinapoiva, katika familia yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “mle naye tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwasaidia wenzao wanaokumbwa na matatizo mbalimbali, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa katika familia zao.

Yahone 6:31-33.

Mathayo 25:35.

Yohane 6: 55-56.

ENGLISH: EAT ONLY WITH HIM.

There was a child who lived in a rich family. This child wanted to eat with adults when their food was placed on the table because he was hungry.  People prevented him from eating such food because it was for adults. That is why the elder of the family told them that, “eat only with him.”

This saying is related to the family of people who are generous in their lives. These people invite everyone to eat their food when it is ready because of their generosity in their lives. They receive blessings of living with great happiness in their family, because of their generosity in their lives.

This family of these people is like the old man who ate his food with children when it was ready, because they also invite everyone in their family to eat their food when it is ready. That is why they say that, “eat only with him.”

This saying imparts in people an idea of being generous enough to help their nobles who are facing various hitches, so that they can live with great happiness in their families.

John 6:31-33.

Matthew 25:35.

John 6: 55-56.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.