1391. AGALILAGA ULU WIZA HA WELELO.

Akahayile kenako kingilile kuli ng’wana uyo obyalagwa. Ung’wana ng’wunuyo agalilaga ulu obyalwa kunguno wingilaga muweja umo adamanilile. Uweyi agalombaga wambilijiwa kuli msumbi okwe kunguno wandyaga wikaji bhupya kugiki adule gwikala mhola. Hunagwene abhanhu bhagahaga giki, “agalilaga ulu wiza ha welelo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga wambilija kuli Mulungu ulu wandyaga nimo gupya umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agandyaga imilimo yakwe imipya bho gunomba Mulungu kunguno ya guzunya gokwe gutale ukubhudula bho Nsumbi okwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe imipya yiniyo, kunguno ya kunomba Mulungu aho alandya uguitumama, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ng’wana uyo agalombaga wambilijiwa kuli nsumbi okwe bho gulila ulu obyalwa, kunguno nuweyi agalombaga wambilijiwa kuli Mulungu ulu alandya uguitumama imilimo yakwe imipya yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agalilaga ulu wiza ha welelo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kulomba wambilijiwa kuli Mulungu ulu bhalandya uguitumama imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

1 Wakorintho 13:11.

KISWAHILI: HULIA ANAPOKUJA DUNIANI.

Msemo huo ulianzia kwa mtoto aliyezaliwa. Mtoto huyo hulia baada ya kuzaliwa kwa sababu ameingia ulimwengu ambamo hajazoea. Yeye huomba msaada kwa muumba wake kwa sababu ameanza maisha mpya kwake ili aweze kuyamudu vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hulia anapokuja duniani.”

Msema huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huomba msaada kwa Mungu anapoanza kazi mpya, katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kazi mpya kwa kumuomba Mungu kwa sababu ya imani yake kubwa kwenye uwezo wa Muumba wake maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika kazi zake hizo mpya, kwa sababu ya kumuomba Mungu anapoanza kuzifanya kazi zake hizo, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule mtoto ambaye huomba msaada kwa Muumba wake kwa kulia baada ya kuzaliwa, kwa sababu naye huomba msaada kwa Muumba wake anapoanza kufanya kazi zake hizo mpya, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hulia anapokuja duniani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuomba msaada kwa Mungu wanapoanza kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utendaji wao wa kazi, maishani mwao.

1 Wakorintho 13:11.

 

ENGLISH: HE CRIES WHEN HE COMES INTO THE WORLD.

This saying is originated from a newborn baby. The newborn baby cries after birth because of entering into new world which it is not used to. It asks for help from the creator because of starting a new independent life so that it can nicely cope with it. That is why people say that, “he cries when he comes into the world.”

This saying is associated to a person who asks for help from God when he starts a new job, in his life. Such person, starts a new job by asking God because of his great faith in the power of his Creator in his life. He achieves great success in his new jobs, because of depending on God when he starts doing them, in his life.

This person resembles the child who asks for help from his Creator by crying after birth, because he also asks for help from his Creator when he starts doing new jobs, in his life. That is why people say to him that, “he cries when he comes into the world.”

This proverb teaches people about asking God for help when they begin to carry out their duties, so that they can achieve great success in their lives.

1 Corinthians 13:11.

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.