1378. AGUB’AMBALAGA.

Oliyo ng’wikaji umo umuchalo ja Ng’watuju. Ung’wikaji ng’wunuyo agiduma na ng’wiye bho gwiwila mihayo yabhubhi kunguno ya bhupelanu bhobho bhunubho. Uweyi agaihungo ugwibhona nuyo bhiduma nang’hwe kunguno oliogoha giki agumanyika ukubhiye. Hunagwene abhanhu aho bhambadija umo wihungilaga bhagayomga biki, “agub’ambalaga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kulimunhu uyo agogohaga ugufunya ililange lya wiza ukubhanhu bhakwe kunguno ya gwita mihayo ya soni habhutongi yabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ung’wunuyo, agang’waga walwa olewa, wandya guyudukila bhanhu na gwiduma nabho sagara kunguno ya gugayiwa witegeleja umukikalile kakwe kenako. Uweyi agabhonaga soni ugubhalela bho gubhinha lilange lya wiza abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya gwita mihayo ya soni habhutongi ya bhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agiduma na ng’wiye uihunga ugwibhona nang’hwe, kunguno nuweyi agitaga mihayo ya soni oyogaha ugubhalanga ililange ilya wiza abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhakwe bhenabho bhagang’wilaga giki, “agub’ambalaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witogwi na bhanhu bhose bho gwikala na nhungwa jawiza, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mwanzo 21:17.

Hesabu 12:8-9.

Kumbukumbu la Torati 11:21.

KISWAHILI: ANAKWEPA.

Alikwepo mkazi mmoja kwenye kijiji cha Mwatuju. Mkazi huyo alikosana na mwenzake kwa kuambiana maneno ya aibu, kwa sababu ya hasira zao hizo. Yeye alianza kukwepa kuonana na yule waliyekosana naye hata akiwepo kwenye kikundi fulani cha watu. Ndiyo maana watu walipomgundua alivyokuwa akikwepa kuonana naye walisema kwamba, “anakwepa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huogopa kuwapa malezi mema watu wa kwenye familia yake kwa sababu ya hutenda matendo ya aibu mbele yao, katika maisha yake. Mtu huyo, hulewa pombe na kuanza kutukana watu na kukosana nao hovyo, kwa sababu ya kukosa umakini katika maisha yake hayo. Yeye huona aibu kuwapatia malezi mema watu wake hao, kwa sababu ya kutenda matendo hayo ya aibu mbele yao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekosana na mwenzake akawa anaogopa kuonana naye, kwa sababu naye hutenda matendo ya aibu na kuanza kuona aibu kuwapatia malezi mema watu wa kwenye familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu wake hao humwambia kwamba, “anakwepa.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo kwa watu wote, kwa kuishi katika maadili mema, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 21:17.

Hesabu 12:8-9.

Kumbukumbu la Torati 11:21.

ENGLISH: HE IS ESCAPING.

There was a resident in Mwatuju village. This resident quarreled with another person by saying embarrassing words to each other, because of their anger. He began to avoid seeing such person whom they quarreled with even when he was in a certain group of people. That is why when people noticed him avoiding seeing him, they said, “He is escaping.”

This saying is related to a person who is afraid to give decent upbringings to the people in his family because he commits shameful acts in front of them, in his life. Such person, drinks alcohol of the point of starting to curse people and quarreling with them carelessly, because of his lack of attention in his life. He feels ashamed to give respectable upbringings to his people, because of committing those shameful acts in front of them, in his life.

This person resembles the one who quarreled with another person to the point of becoming afraid to see him, because he also commits shameful acts to the point of feeling ashamed to give upright upbringing to the people in his family. That is why his people tell him that “He is escaping.”

This saying imparts in people an idea about loving all people, by living in decent morals, so that they can raise their families well, in their lives.

Genesis 21:17.

Numbers 12:8-9.

Deuteronomy 11:21.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.