1357. JALIWA NA BHANDELEBEYA.

Ulusumo lunulo luhoyelile bhandelebeya abho bhali bhanhu abho bhadina wikalo. Abhanhu bhenabho bhagasola mhiya ja ng’wa munhu uyo agabhalekela bho nduhu ugubhitila bhukengeji wiza kunguno ya gukija gwitegeleja gokwe chiza umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo aho bhajisola abhanhu bhelabho imhiya jakwe agandya guyubhachola bho guja agubhujaga kubhanhu ulu bhabhabhonaga. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki imhiya jakwe “jaliwa na bandelebeya.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhinhaga bhanhu sagala ijikolo jakwe bho nduhu ugubhitila bhukengeji ubho gung’wambilija gubhadebha chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhinhaga bhanhu sagala isabho jakwe abho bhajimilaga najo kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gubhitila bhukengeji bho gubhadebha chiza haho atali ugubhalekela ijikolo jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajimijaga sabho ninyi noyi aha kaya yakwe kunguno ya kubhalekela bhanhu abho bhadina wikaji bho gumanyika chiza, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasojiwa mhiya jakwe na bhanhu abhadina wikalo abho agabhalekela, kunguno nuweyi agabhinhaga bhanhu sagala isabho jakwe mpaga bhajimila najo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki isabho jakwe jinijo “jaliwa na bhandelebeya.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guleka kubhalekela bhanhu sagala isabho jabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza isabho jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Walawi 19:13.

Zaburi 119:78.

Mithali 22:22.

Yeremia 22:17.

KISWAHILI: ZIMELIWA NA WATU WASIO NA MAKAO.

Methali hiyo huongelea watu wasio na makao ambao ni wale wanaoishi katika sehemu isiyojulikana vizuri. Watu hao walichukua pesa za mtu aliyewaachia bila ya kuwafanyia utafiti mzuri kwa sababu ya kukosa umakini wa kumsaidia kuwafahamu vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, alianza kuwatafuta watu wale waliozichukua pesa zake kwa kuwauliza watu kama wamewaona. Ndiyo maana wale watu walimwambia kwamba, pesa zake hizo “zimeliwa na watu wasio na makao.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapatia watu hovyo mali zake bila ya kuwafanyia utafiti wa kumsaidia kuwafahamu vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaachia watu hovyo mali zake hizo ambao hupotea nazo kwa sababu ya kukosa umakini wa kuwafanyia utafiti wa kuwafahamu vizuri, maishani mwake. Yeye huzipoteza hovyo mali za kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwaachia watu hao asiyowafahamu vizuri, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaachia pesa zake watu wasio na makao ambao walipotea nazo, kwa sababu naye huwapatia watu hovyo mali zake mpaka wanapotea nazo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba mali zake hizo “zimeliwa na watu wasio na makao.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuacha kuwaachia mali zao watu wasio wafahamu vizuri, ili waweze kuzitunza vizuri mali zao hizo, maishani mwao.

Walawi 19:13.

Zaburi 119:78.

Mithali 22:22.

Yeremia 22:17.

 

ENGLISH: THEY HAVE BEEN EATEN BY HOMELESS PEOPLE.

This proverb refers to homeless individuals who live in an unknown place. These persons took money of a person who left it carelessly. He left such money without doing proper research because of a lack of responsiveness enough to aid him get to know what kind of people who were there at that time.

This person began to look for people who took his money by asking people if they had seen them. That is why the people told him about his money that “they have been eaten by homeless people.”

This proverb is related to a person who gives his wealth to individuals without doing any research that can support him enough to recognize them well in his life. This person gives his wealth to people without doing any research which can support him enough to know them well in his life. He loses his family’s wealth because of leaving it to people whom he does not know well in his life.

This person is like the one who left his money to the homeless ones who lost it, because he also gives his wealth to people carelessly until they lose it in his life. That is why people say to him about his wealth that, “they have been eaten by homeless people.”

This proverb imparts in people an idea of being so cautious enough to not leave their wealth to people whom they do not know well, so that they can take upright carefulness of their wealth in their lives.

Leviticus 19:13.

Psalm 119:78.

Proverbs 22:22.

Jeremiah 22:17.

 

money-1477064_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.