Aho kale olihoyi munhu uyo agageniha ha kaya ya ng’wa munhu nhebhe. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhambokela chiza noyi bho gung’winha malya managaluku ayo galigikujo litale, kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho umuwikaji bhokwe. Hunagwene ungeni ng’wunuyo aho olya chiza agayomba giki, “nagabhona makangalasi.”
Akahayile kenako kagalenanijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiza nholo aha kaya yakwe umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo agabhabokelaga abhageni bhakwe chiza bho gubhagalila jiliwa jisoga noyi kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho ubho gubhagalila chiza abhageni bhakwe, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga na bhanhu bha ha kaya iyo igangalila chiza ungeni obho, kunguno nuweyi agabhabokelaga na gubhagalila chiza abhageni bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe bhunhubho. Hunagwene umo o bhageni bhakwe bhenabho agayomba giki, “nagabhona makangalasi.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wizanholo bho gubhabokela na gubhagalila chiza abhageni bhabho kugiki bhadule gupandika mpango ja gwikala na bhuyeji bhutale umukaya jabho jinijo.
Mwanzo 21:8.
Isaya 22:6.
Esta 2:18.
Mithali 15:15.
KISWAHILI: NIMEONA CHAKULA KITAMU.
Hapo zamani alikuwepo mtu aliyetembelea kwenye familia ya mtu fulani. Watu wa kwenye familia hiyo, walimpokea vizuri na kumpikia chakula kitamu cha heshima kubwa, kwa sababu ya ukarimu wao huo, maishani mwao. Ndiyo maana yule mgeni alipokula kile chakula alisema kwamba, “nimeona chakula kitamu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkarimu kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwapokea wageni wake vizuri na kuwaandalia chakula kitamu kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi kwenye familia yake kwa sababu ya ukarimu wake huo wa kuwatunza vizuri wageni wake, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na wale watu wa kwenye familia ile iliyo mkarimu vizuri mgeni wao, kwa sababu naye huwapokea vizuri na kuwapikia chakula kizuri wageni wake, maishani mwake. Ndiyo maana mmoja wa wageni hao husema kwamba, “nimeona chakula kitamu.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapokea na kuwatunza vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa katika familia zao, mashaini mwao.
Mwanzo 21:8.
Isaya 22:6.
Esta 2:18.
Mithali 15:15.

ENGLISH: I HAVE SEEN A DELICIOUS MEAL.
Once upon a time, there was a man who visited a certain family. The individuals of that family welcomed him well and cooked him a delicious meal of great respect, because of their hospitality in their lives. That is why when the guest ate the meal said, “I have seen a delicious meal.”
This saying is matched to a person who is generous in his family in his life. This person welcomes his guests well and prepares for them a delicious meal because of his hospitality in his life. He lives with various persons in his family because of his hospitality of taking decent care of his guests in his life.
This person is similar to the people of that family who were generous to their guests, because they also welcome them well and cook decent foodstuff for their guests in their lives. That is why one of those guests says, “I have seen a delicious meal.”
This saying teaches people about being hospitable enough to receive and take upright care of their guests, so that they can receive blessings of living happily in their families in their homes.
Genesis 21:8.
Isaiah 22:6.
Esther 2:18.
Proverbs 15:15.