1349. ALIYO NADUDOGOLAGA.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo ja B’ub’inza. Umunhu ng’wunuyo oyombaga mihayo ya nhana noyi aliyo lulu abhiye bhamanaga bhumbyedeleja duhu kunguno ya libhengwe lyabho linilo. Umunhu ng’wunuyo wiyumilijaga bho gubhashogeja chiza abhanhu bhenabho. Hunagwene agabhawila giki, “aliyo nadudogolaga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga nikujo kubhanhu bhakwe umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhitilaga mihayo ya wiza abhanhu bhakwe bho nduhu gubhadaraha sagala kunguno ya likujo lyakwe linilo umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na bhuyeji bhutale na bhanhu bha aha kaya yakwe kunguno ya widohya bhokwe bhunubho ubho gwikala chiza nabhiye, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo obhashokeja chiza abhanhu abho bhambyedelejaga ulu aliiyomba imihayo iya nhana, kunguno nuweyi agabhitilaga mihayo ikujo abhanhu bhakwe bho nduhu gubhadaraha sagala, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga gki, “aliyo nadudogolaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na widohya bho gwikala nikujo ukubhanhu bhabho kugiki bhadule gujilela chiza  ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Ayubu 31:34.

Mithali 13:1.

Mithali 14:23.

KISWAHILI: SISEMI KWA DHARAU.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi katika kijiji cha Bubinza. Mtu hiyo alikuwa akisema ukweli lakini wenzake walikuwa wakimdharau kwa sababu ya dharau zao hizo. Mtu huyo, alivumilia kwa kuwajibi vizuri watu hao. Ndiyo maana alisema kwamba, “sisemi kwa dharau.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayewaheshimu watu wake katika maisha yake. Mtu huyo, huwatendea mema watu hao hao bila ya kuwadharau kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuwaheshimu watu wake hao, maishani mwake. Yeye huishi kwa furaha kubwa na watu wa kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuwaheshimu watu wake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewajibu kwa heshiwa watu waliomdharau alipowaambia ukweli, kwa sababu naye huwatendea mema watu wake bila ya kuwadharau, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “sisemi kwa dharau.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwaheshimu watu wao ili waweze kuzilea vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Ayubu 31:34.

Mithali 13:1.

Mithali 14:23.

bold-4556853_1280

nigeria-2840922_1280

nigeria-5307616_1280

 

ENGLISH: I DO NOT SPEAK WITH DISRESPECT.

Once upon a time, there was a man who lived in the village of Bubinza. He spoke the truth but his earls disrespected him because of their impudence. Such man endured their lack of respect by responding politely to them. That is why he said that, “I do not speak with disrespect.”

This saying is related to a man who respects his family members in his life. This man nicely treats folks without disrespecting them because of his humility of regarding people in his life. He lives with great happiness with his family members, because of his humility of valuing them in his life.

This man resembles the one who responded respectfully to people who disrespected him when he told them the truth, because he also politely treats his people without disrespecting them in his life. That is why he says, “I do not speak with disrespect.”

This saying imparts in societal members an idea of being humble enough to respect their societal members so that they can nicely nurture their families in their lives.

Job 31:34.

Proverbs 13:1.

Proverbs 14:23.

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.