Aho kale alihoyi munhu uyo olinsab’i o mitugo. Imitugo jinijo jalikihamo na ngoko, mbuli, nholo na ng’ombe. Unsab’i ng’wunuyo, ojinjaga nkoko nulu mbuli ulu opandikaga ikoye idoo aha kaya yakwe kugiki adule kupandika hela ja gulimalila wantgu, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umukikalile kakwe.
Aliyo lulu, lushigu lumo agapandika likoye litale ilo lyalilya gumala bho gujinja ntugo ntale guti ng’ombe. Uweyi agiyangula gujinja ng’ombe kunguno ohayaga ab’ukinde wangu ub’ulugu bhunubho. Hunagwene agayomba giki, “b’ulugu b’o kula naje mumagogeja.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli nsab’i uyo agajitumamilaga chiza isabho jakwe umukikalile kakwe kenako. Unsab’i ng’wunuyo, agajilanhanaga chiza isabho jakwe kugiki jidule gung’wambilija ugugamala wangu amakoye ayo galampandike aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agajitumamilaga chiza isabho jakwe jinijo ulu opandikaga makoye aha kaya yakwe mpaga ogamala wangu kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Unsab’i ng’wunuyo, agikolaga nuyo agajinja ng’ombe aho opandika likole litale mpaga ulimala wangu ilikoye linilo, kunguno nuweyi agajitumamilaga isabho jakwe ulu upandikaga likoye mpaga olimala wangu umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “b’ulugu b’o kula naje mumagogeja.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilanhana chiza isabho jabho kugiki ulu bhupandika makoye jidule gubhambilija ugugamala wangu amakoye genayo, umukaya jabho jinijo.
Mathayo 6:19-34.
KISWAHILI: VITA IMEKUA KUBWA NIUZE NG’OMBE.
Hapo zamani alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa tajiri wa mifugo. Mifugo hao waliokuwa pamoja na kuku, mbuzi, kondoo, na ng’ombe. Tajiri huyo alikuwa akiuza kuku au mbuzi akipata shida ndogo katika familia yake ili apate hela ya kuyatatulia kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.
Lakini basi, siku moja tajiri huyo alipata tatizo kubwa lililohitaji kuuza mfugo mkubwa kama ng’ombe ili kupata pesa za kulitatulia. Yeye aliamua kuunza ng’ombe kwa sababu ya kutaka aishinde haraka vita hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “vita imekua kubwa niuze ng’ombe.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa tajiri yule ambaye huzitumia vizuri mali zake katika maisha yake. Tajiri huyo, huzitunza vizuri mali zake hizo ili ziweze kumsaidia kuyamaliza haraka matatizo yatakayojitokeza kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huzitumia vizuri mali zake hizo mpaka anayamaliza haraka matatizo yanayojitokeza kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake hayo.
Tajiri huyo, hufanana na yule aliyeuza ng’ombe alipopata tatizo kubwa mpaka akapata hela zilizomuwezesha kulitatua haraka, kwa sababu naye huzitumia mali zake kwa kuyatatua matatizo yanayoikumba familia yake hiyo mpaka anayamaliza haraka kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “vita imekua kubwa niuze ng’ombe.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitunza vizuri mali zao ili ziweze kuwasaidia katika kuyatatua haraka matatizo yatakayozikumba familia zao, maishani mwao.
Mathayo 6:19-34.



ENGLISH: THE WAR HAS BECOME BIG, LET ME SELL THE COW.
Once upon a time, there was a man who was rich in domesticated animals. These animals included chickens, goats, sheep, and cows. He used to sell chickens or goats when he had minor hitches in his family for getting money which can solve them because of his thoughtfulness in his life.
But then, one day such rich man had an enormous difficult that required selling a large animal like a cow for getting enough money to solve it. He decided to bring a cow because he wanted to win the war quickly. That is why he said, “the war has become big, let me sell the cow.”
This proverb is related to a rich man who uses his wealth well in his life. This rich man takes upright care of his wealth so that it can support him quickly in solving hitches that will arise in his family, because of his responsiveness in his life. He uses his wealth well until he quickly solves the glitches which arise in his family, because of his thoughtfulness in his life.
This rich man resembles the one who sold his cow when he encountered a big delinquent until he got the money that enabled him to solve it quickly, because he also uses his wealth to solve the hitches which befall his family until he quickly solves them.That is why he says that, “the war has become big, let me sell the cow.”
This proverb imparts in individuals an idea of being so attentive enough to take decent care of their wealth so that they can support them in quickly solving glitches which will befall their families in their lives.
Matthew 6:19-34.