Bhalihoyi bhanhu abho bhalinaga mulugulu ulo loli lulihu noyi. Abhanhu bhenabho bhagikomeja pye ugulina kunguno bhuli ng’wene ohayaga abhize ogwandya ugushiga ukwigulya kunuko. Hunagwene uumo obho aho oshiga koyi agabhawila abhiye giki, “nali mulugulu ng’wigulya.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhatongelaga bhiye chiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhatongelaga abhanhu bhakwe bho gwikomeja gutumama milimo chiza na gubhambilija abho bhali na makoye umuchalo jakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umubhutongeji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhatongela abhiye ugushiga ukwigulya ya lugulu, kunguno nuweyi agabhatongelaga abhanhu bhakwe uguita imihayo iyawiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nali mulugulu ng’wigulya.”
Akahayile kenako kalanga bhatongeji bha bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhatongela abhanhu bhabho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho.
Yeremia 49:16.
Mathayo 5:1.
Mathayo 7:29.
KISWAHILI: NIKO MLIMANI JUU.
Walikuwepo watu waliokuwa wakipanda mlima uliokuwa mrefu sana. Watu hao walijibidisha wote katika kuupanda mlima huo kwa sababu kila mmoja wao alitaka kuwa wa kwanza kufika juu ya mlima huo. Ndiyo maana mmoja wao alipofisha kule juu aliwaambia wenzake kwamba, “niko mlimani juu.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaongoza wenzake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaongoza watu kwa kujibidisha kufanya kazi vizuri na kuwasaidia watu wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali, kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi katika familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo katika uongozi wake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyewatangulia wenzake kufika juu ya ule mlima, kwa sababu naye huwaongoza watu wake katika kufanya kazi vizuri na kutenda mema, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “niko mlimani juu.”
Msemo huo huwafundisha viongozi wa watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuongoza watu wao katika kufanya kazi zao vizuri na kutenda mema, ili waweze kuishi kwa kufuraha kubwa, katika familia zao.
Yeremia 49:16.
Mathayo 5:1.
Mathayo 7:29.
ENGLISH: I AM ON THE MOUNTAIN.
There were individuals who were climbing a very high mountain. They all worked hard to climb it because each of them wanted to be the first to reach on its peak. That is why when one of them reached it, he told his friends that, “I am on the mountain.”
This saying is matched to an individual who leads his friends well in his life. This man leads general public by working hard enough to support his people who are suffering from various hitches, because of his honesty in life. He lives with various persons in his family because of his honesty in his leadership.
This person is like the one who preceded his friends to reach the top of the mountain, because he also leads his individuals in working well by doing respectable deeds in his life. That is why he says, “I am on the mountain.”
This saying instills in public’s leaders a clue on being honest in leading their societies by doing their jobs well and good, so that they can live with great joy in their families.
Jeremiah 49:16.
Matthew 5:1.
Matthew 7:29.
