Akahayile kenako kahoyelile bhuji bho kujigasho ja ndugu bho ng’wa munhu nhebhe. Aho kale olihoyi munhu uyo ojaga kujigasho ja ndugu bhuli ng’waka kunguno ya gutogwa gubhatongela chiza abhanhu bha muludugu lokwe lunulo. Abhanhu bha muchalo jakwe jinijo bhagandebha nose igiki agajaga kujigasho jinijo bhuli ng’waka kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene bhagayomba giki, “ojaga dagashida.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu uyo agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umutumami bhokwe. Untongeji ng’wunuyo, agitaga jigasho na bhanhu bhakwe ja guhoyela bhutumami bho milimo yabho na njila ja gugamala wangu amakoye gabho bhuli ng’waka kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gubhadilila chiza abhnhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajibhejaga chiza ichalo jakwe jinijo kunguno ya gubhatongela chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe.
Untongeji ng’wunuyo agikolaga nuyo ojaga kujigasho ja ndugu bhuli ng’waka, kunguno nuweyi agitaga jigasho ja guhoyela milimo yabho na bhanhu bha muchalo jakwe bhuli ng’waka, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhanyombaga giki, “ojaga dagashida.”
Akahayile kenako kalanga bhatongeji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwitano jigasho na bhanhu bhabho ja guhoyelela milimo yabho bhuli ng’waka kugiki bhadule kupandika mafumilo matale, umukaya jabho.
Zaburi 133;1.
KISWAHILI: AMEENDA KWENYE KIKAO CHA NDUGU.
Msemo huo huongelea juu ya uendaji wa kwenye kikao cha ndugu wa mtu fulani. Hapo zamani alikuwepo mtu yule ambaye alikuwa akienda kwenye kikao cha ndugu kila mwaka kwa sababu ya upendo wa kuongoza vizuri watu wa ukoo wake. Watu wa kijiji hicho walimfahamu mwishowe kuwa yeye huenda kwenye kikao cha ukoo kila mwaka. Ndiyo maana walisema kwamba, “ameenda kwenye kikao cha ndugu.”
Msemo huo hulinganishwa kwa kiongozi yule ambaye huwaongoza vizuri watu wake katika utumishi wake. Kiongozi huyo, huitisha mkutano wa watu wake wa kuongelea juu ya maendeleo ya kazi zao pamoja na utatuzi wa matatizo yao kwa sababu ya umaskini wake huo wa kuwajali vizuri wake hao, maishani mwake. Yeye hukiendeleza vizuri kijiji chake hicho kwa sababu ya kuwaongoza vizuri wake hao, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kwenye kikao cha ndugu kila mwaka, kwa sababu naye huitisha mkutano wa watu wa kuongelea juu ya maendeleo yao, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ameenda kwenye kikao cha ndugu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kufanya mkutano na watu wao kwa ajili ya kuongelea juu ya maendeleo yao, kila mwaka ili waweze kupata maendeleo makubwa, katika familia zao.
Zaburi 133:1.
ENGLISH: HE HAS GONE TO A RELATIVES’ MEETING.
This proverb talks about someone’s going to a relatives’ meeting. In the past, there was a man who went to a meeting of relative each year because of leading well his clan. The populaces of that village eventually learned that he nicely led such meeting every year. That is why they said that, “He has gone to a relatives’ meeting.”
This proverb is equaled to a leader who leads his people well in his service. This leader calls a meeting of his people so as to talk about progress of their works as well as solving their problems because of his responsiveness of caring well for his people. He develops his village well because of leading nicely his people.
This person is similar to the one who went to a relatives’ meeting every year, because he also calls a meeting of people for talking about their progress in his life. That is why people say, “He has gone to a relatives’ meeting.”
This saying imparts in people clue of being watchful enough to hold a meeting with their people for talking about their progress, each year so that they can achieve great progress in their families.
Psalm 133:1.


