1338. WANILOKOLA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhakoyiyagwa ni koye lya gugayiwa jiliwa kuli likanza lilihu umuchalo jilebhe. Abhanhu bhenabho ligashiga likanza ilo bhagapandika jiliwa ja gufumila kuli munhu umo uyo agabhagunana kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhenabho. Umo obhanhu abho bhagagunanwa bhenabho agulumba noyi ukuli ngunani obho ng’wunuyo. Hunagwene agayomba giki, “wanilokola.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja kufunya bhulumbi ukubhanhu abho bhagang’wambilijaga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitumilaga inhungwa jakwe jinijo bho gubhizuka na gubhalumbilija pye abhanhu abho bhagang’wambilijaga kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalelaga abhanhu bha ha kaya yakwe bho gwikala na bhulumbi ukubhichabho abho bhagabhagunanaga umukikalile kabho kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agafunya bhulumbi ukuli munhu uyo agabhinha jiliwa kunguno nuweyi agabhalumbilijaga abhanhu abho bhagang’wambilijaga umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “wanilokola.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja gufunya bhulumbi ukubhichabho abho bhagabhambilijaga ulu bhalina makoye, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji bhutale umukaya jabho.

Luka 17:11-15.

Luka 10:25-37.

KISWAHILI: NASHUKURU.

Walikuwepo watu waliokuwa wakisumbuliwa na tatizo ka kukosa chakula kwa muda mrefu katika kijiji fulani. Watu hao, ulifika wakati ambao walipata chakula kutoka kwa mtu mmoja aliyeamua kuwasaidia kwa sababu ya upendo wake kwao. Mmoja wa watu hao waliosaidiwa alishukuru sana kwa mtu yule aliyewasaidia. Ndiyo maana alisema kwamba, “nashukuru.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia ya kutoa shukrani kwa watu wanaomsaidia, katika maisha yake. Mtu huyo, huitumia tabia yake hiyo njema kwa kuwakumbuka na kuwashukuru watu waliomsaidia katika maisha yake kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huwalea watu walioko kwenye familia yake hiyo kwa kuishi maisha ya kutoa shukrani kwa wenzao wanaowaidia, katika maisha yao.

Mtu huyo hufanana na yule aliyetoa shukrani kwa mtu aliyewapatia chukula walipokuwa na njaa, kwa sababu naye huwashukuru watu wale wanaomsaidia maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nashukuru.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kutoa shukrani kwa wenzao wanaowasaidia katika kutatua matatizo yao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, katika familia zao.

Luka 17:11-15.

kanigo1

hands-5618238_1280

roast-1771671_1280

ENGLISH: I AM GRATEFUL.

There were people who suffered from food shortage hitch for a long time in a certain village. There came a time when they received food from a person who decided to support them because of his kindness to them. One of those people who were assisted was very grateful to such person who aided them. That is why he alleged that, “I am grateful.”

This saying is compared to an individual who has habit of giving thanks to people who support him in his life. This person uses his respectable custom by remembering and thanking people who assisted him in his life because of his helpfulness in his life. He nurtures people who stay in his family by living a life of giving thanks to their dukes who support them in their lives.

This person is similar to the one who gave thanks to the person who gave them food when they were hungry, because he also thanks people who aid him in his life. That is why he says, “I am grateful.”

This saying clarifies in societies an idea of expressing gratitude to their societal members who support them in solving their glitches, so that they can live happily in their families.

Luke 17:11-15.      

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.