1336. ADEBHILE GWANULA.

Akahayile kenako kalolile wanuji bho ng’wa munhu nkuji. Olihoyi munhu uyo ong’wambilijaga munhu uyo oliokula mpaga uduma ugubhuka ubho weyi ng’winikili kunguno ya bhujiko bhokwe bhunubho. Uweyi omfunyaga hanze unkuji ng’wunuyo bhuli lushigu idiyu na gung’wanula bho gunchala mukaya ulu wila ubhujiku kunguno oliomala inguzu ja gwiyinja weyi ng’winikili aha hanze henaho. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga ung’wanuji ng’wunuyo giki, “adebhile gwanula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhambilijaga abhabyaji bhakwe bhenabho bho gubhagulila myenda na jiliwa ija gulya shigu ningi kunguno ya jikujo lyakwe na bhutogwa bhokwe bhunubho ukubhabyaji bhokwe bhunabho. Uweyi agabhalanhanaga bho gubhinha ijo jidulile gubhambilija umubhukuji bhobho pye ishigu ja wikaji bhobho kunguno ya likujo lyakwe linilo ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

 Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ong’wambilija umunhu uyo oliokula bho gunfuma hanze idiyu, na gumchala mukaya imhindi, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhabyaji bhakwe pye jishigu ja bhulamu bhobho umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “adebhile gwanula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo kubhabyaji bhabho bho gubhambilija pye ishugu ja bhulamu bhobho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala shigu ningi ukuwelelo, na bhuyegi Ng’wigulu.

Yohana 21: 18:

1Wakorintho 13:11.

Yoshua Bin Sira 3:12-16.

Mhubiri 11:7.

1Wathesalonike 5:14.

KISWAHILI: ANAFAHAMU KUANUA.

Msemo huo huangalia uanuaji wa mtu mzee kutoka sehemu moja hadi nyingine. Alikuwepo mtu aliyekuwa akimtunza mtu ambaye alikuwa amezeeka mpaka akashindwa kusimama peke yake bila kusaidiwa kwa sababu ya uzee wake huo. Yeye alikuwa akimtoa nje mzee yule kila siku asubuhi na kumrudisha ndani ikifika jioni kwa sababu alikuwa ameishiwa nguvu za kujiondoa mwenyewe pale nje yule mzee. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “anafahamu kuanua.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia vizuri wazazi wake katika maisha yake, Mtu huyo, huwasaidia wazazi wake hao kwa kuwanunulia chakula wanachohitaji na mavazi wanayoyahitaji siku zote za maisha yao, kwa sababu ya heshima yake na upendo wake kwao, maishani mwake. Yeye huwatunza kwa kuwapatia mahitaji yao katika maisha yao yote kwa sababu ya heshina aliyo nayo kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemsaidia yule mzee kwa kumtoa nje wakati wa asabuhi na kumrudisha ndani wakati wa jioni, kwa sababu naye huwasaidia wazazi wake kwa kuwapatia mahitaji yao siku zote za uhai wao, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anafahamu kuanua.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa wazazi wao kwa kuwapatia mahitaji yao maishani mwao, ili waweze kupata Baraka za kuishi miaka mingi duniani, na heri mbinguni.

Yohana 21: 18:

1Wakorintho 13:11.

Yoshua Bin Sira 3:12-16.

Mhubiri 11:7.

1Wathesalonike 5:14.

 

ENGLISH: HE KNOWS HOW TO RETURN TO THE SHADOW FROM THE SUN.

This proverb refers to a taking of an old person from one place to another. There was a man who took care of a person who had grown old until he could no longer stand alone without helping him because of his old age. He used to take the old man out every morning and bring him back in when it got to the evening. He did so because the old man had run out of strength to get out on his own. That is why people told him that, “he knows how to return to the shadow from the sun.”

This proverb is matched to a person who helps his parents well in his life. Such person helps his parents by buying them food and clothes which they need in their lives, because of his respect and love for them, in his life. He takes care of them by providing them with their basic needs throughout their lives because of the respect which he has for them, in his life.

This person is like the one who helped the old man by taking him out in the morning and bringing him back in at night, because he also helps his parents by providing them with their needs all the days of their lives, in his life. That is why people say to him that, “he knows how to return to the shadow from the sun.”

This proverb teaches individuals about respecting their parents by providing them with their needs in lives, so that they can receive the blessings of living long on earth, and happiness in heaven.

John 21: 18:

1 Corinthians 13:11.

Joshua Ben Sira 3:12-16.

Ecclesiastes 11:7.

1 Thessalonians 5:14.

 

hands-5017314_1280

face-7218927_1280

old-3975765_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.