1335. JITAB’O JA NG’WA MULUNGU JIDACHOLELAGWA NG’WA MFUMU.

Ulusumo lunulo luhoyelile munhu uyo ocholaga jitab’o ja Ng’wa Mulungu ng’wa mfumu. Umunhu ng’wunuyo, agashiga aha ng’wa mfumu henaho alibhabhuja ulu bhalinajo ijitab’o jinijo, gukiki bhang’winhe, kunguno oli adinajo weyi umubhuzunya bhokwe.

Abhanhu bhenabho bhagankumya noyi unzunya ng’wunuyo, kunguno abhoyi bhadebhile igiki ijitab’o jinijo, jidikalaga aha ng’wa mfumu, ijoyi jigikalaga kubhazunya nulu kwikelesia. Hunagwene bhagang’wila giki, “ijitab’o ja ng’wa Mulungu jidacholelagwa ng’wa mfumu.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli nzunya uyo agasangijaga mihayo ya ng’wa Mulungu ni ya ng’wa shetani, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ukwisalila ulu oshoga koyi wandya gulamya ya ng’wa shetani, kunguno ya gugayiwa witegelega bho gubhudimila chiza ubhuzunya bhokwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga wita mihayo ya bhubhi aha kaya yakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho ubho gugudimila chiza umhayo go ng’w Mulungu, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ocholaga jitab’o ja ng’wa Mulungu ng’wa mfumu, kunguno nuweyi agajaga ukwisalila ukunhu aliita mihayo ya ng’wa Shetani iyabhubhi yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ijitab’o ja ng’wa Mulungu jidacholelagwa ng’wa mfumu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugudimila umhayo go ng’wa Mulungu bho nduhu ugugusangilija na ya ng’wa shetani, kugiki bhadule kupandika mbango ja kupandika mafumilo mingi na kushiga Ng’widulu, umuwikaji bhobho.

Zaburi 119:33.

Ufunuo 3:15b.

Kutoka 4:15.

KISWAHILI: KITABU CHA MUNGU HAKITAFUTIWI KWA MGANGA WA KIENYEJI.

Methali hiyo, huongelea mtu aliyeenda kutafuta kitabu cha Mungu kwa mganga wa kienyeji. Mtu huyo alifika kwa mganga huyo akawauliza aliowakuta kama kipo kitabu hicho ili wampe, kwa sababu hakuwa nacho katika ukristo wake.

Watu hao walimshangaa sana mkristo huo kwa sababu wao wanaelewa wazi kuwa, kitabu hicho hupatikana kwa wakristo, au Kanisani. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “kitabu cha Mungu hakitafutiwi kwa mganga wa kienyeji.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchanganya mambo ya Mungu na ya shetani, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kusali kanisani lakini anaporudi huanza kuabudu miungu wengine, kwa kutenda maovu, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuuishi vizuri ukristo wake, maishani mwake. Yeye hutenda maovu mengi katika familia yake hiyo kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kufuata njia ya kuliishi neno la Mungu vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kutafuta kitabu cha Mungu kwa mganga wa kienyeji, kwa sababu naye huenda kanisani lakini anaporudi hufuata mambo ya shetani, kwa kutenda maovu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kitabu cha Mungu hakitafutiwi kwa mganga wa kienyeji.”

Methali hiyo, hufundisha wakristo juu ya kuwa na umakini wa kulishikilia neno la Mungu bila kutenda maovu, ili waweze kupata Baraka nyingi maishani mwao na kuweza kufika Mbinguni.

Zaburi 119:33.

Ufunuo 3:15b.

Kutoka 4:15.

 

ENGLISH: THE BOOK OF GOD IS NOT SOUGHT FROM A TRADITIONAL HEALER.

This proverb speaks of a person who went to seek the book of God to a local medicine man. A certain person went to such medicine man and asked him if he saw the book of God so that he could give it to him, because he did not have it in his Christian life.

These people were very surprised at such Christian because they clearly understand that such book is found among Christians, or in the Church. That is why these people told him that, “the book of God is not sought from a traditional healer.”

This proverb is paralleled to a person who mixes things of God and those of a devil in his life. Such person can pray in church but when he returns he begins to worship other gods, by committing evil deeds, because of a lack of responsiveness of living his Christianity well, in his life. He commits various evil deeds in his family because of a lack of thoughtfulness of following the path of putting into practice the word of God well in his life.

This person resembles the one who went to seek the book of God to a local traditional healer, because he also goes to church but when he returns he follows the possessions of devil by doing evil in his life. That is why people tell him that, “the book of God is not sought from a traditional healer.”

This proverb teaches Christians about being cautious enough to hold on to the word of God without doing evil, so that they can receive several blessings in their lives to the point of reaching Heavenly Kingdom.

Psalm 119:33.

Revelation 3:15b.

Exodus 4:15.

 

bible-2110439_1280

south-africa-742507_1280

praying-5406270_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.