Ab’asimbila kaya bhali bhanhu abho bhagabhejaga kaya bho guzenga numba. Bhali hoyi bhanhu abho bhazengaga numba yabho bho kusimbila nhingi kugiki bhadule gupandika numba ndamu kunguno bhali bhadina numba ya gwikala. Abhanhu bhenabho bhagigulambija uguizenga inumba yiniyo bho gwiyambilija chiza mpaga bhuimala. Hunagwene abhanhu bha munzengo gunuyo, bhagabhitana giki, “b’asimbila kaya.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhagabhalangaga abhana bhabho lilange lya gwikala na nhungwa jawiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagabhinhaga lilange lya gutumama milimo yabho chiza na gwikala na bhanhu bho gwitogwi umuchalo jabho, kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadulaga gwikala bho witogwi na likujo litale aha kaya yabho yiniyo kunguno ya witegeleja bhobho ubho gubhalanga lilange lyawiza chiniko abhana bhobho, umukikalile kabho.
Abhitoji bhenabho bhagikolaga na bhanhu abho bhagazenga numba bho gwiyambilija chiza mpaga bhuyimala, kunguno nabho bhagabhinhaga lilange lyawiza abhana bhabho bho gwiyambilija chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “b’asimbila kaya.”
Akahayile kenako kalanga bhabyaji higulya ya gubhiza na nhungwa ja gubhinha lilange lyawiza abhana bhabho kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.
Waefeso 5:2-33.
Mwanzo 2:18-24.
Mathayo 19:3-6.
KISWAHILI: WATENGENEZA MJI.
Watengeneza mji ni watu wanaojenga nyumba. Walikuwepo watu waliokuwa wanajenga nyumba yao kwa kuchimbia nguzo ili waweze kupata nyumba iliyo imara kwa sababu hawakuwa na nyumba ya kuishi. Watu hao walijibidisha kuijenja nyumba hiyo kwa ushirikiano mkubwa mpaka wakaimaliza. Ndiyo maana watu wa kijiji hicho waliwapatia jila la “watengeneza mji.”
Msemo huo hulinganishwa kwa wana ndoa wale ambao huwafundisha watoto wao malezi mema, katika maisha yao. Watu hao huwapatia watoto wao hao malezi ya kufanya kazi vizuri na kuishi kwa upendo na watu wao kwa sababu ya tabia yao hiyo njema, maishani mwao. Wao hufanikiwa kuishi kwa kuheshimiana na kwa upendo katika familia yao hiyo kwa sababu ya tabia yao hiyo njema ya kuwapatia malezi mema watoto wao hao, katika maisha yao.
Wana ndoa hao hufanana na watu wale waliojenja nyumba kwa ushirikiano mpaka wakaimaliza, kwa sababu nao huwapatia watoto wao malezi mema kwa ushirikiano mkubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaita jina la “watengeneza mji.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia za kuwafundisha malezi mema watoto wao, ili waweze kuzijenga vyema familia zao hizo, maishani mwao.
Waefeso 5:2-33.
Mwanzo 2:18-24.
Mathayo 19:3-6.
ENGLISH: FAMILY BUILDERS.
Family builders are people who build houses for staying people. There were people who built their houses by digging poles so that they could have a solid house because they did not have a house to live in. These people worked hard enough to build their house with great cooperation until they finished it. That is why people of that village called them “family builders.”
This saying is equaled to married couples who teach their children decent nurture, in their lives. These parents give to their children decent nurture for working well and living peaceably with their people because of their upright deeds in their lives. They succeed in living with respect and love in their family because of their upright manners of nurturing children well in their lives.
These married couples are similar to those people who built their house with cooperation until they finished it, because they also give to their children decent rearing with great cooperation in their lives. That is why people call them “family builders.”
This saying imparts in parents an idea of having upright parenting conducts for their children, so that they can build their families well in their lives.
Ephesians 5:2-33.
Genesis 2:18-24.
Matthew 19:3-6.
