1332. IGULILU LYA NGOKO GUGULA NA GUSINZA NI JIYU JILIB’ONA.

Iligulilu lya ngoko liligulilu ilo bhanhu bhagajingaga na gugula ngoko. Ahi igulilu linilo abhaguji bhagajigulaga ingoko jinijo na gwandwa gujisinza ni jiyu nulu susu jilib’ona kunguno ya kuhaya gupandika hela bho guzuka nyama ya ngoko na guijinja aha nada gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “igulilu lya ngoko gugula na gusinza ni jiyu jilib’ona.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agitaga mito ga b’ub’i na gasoni na bhana bhalib’ona, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagitaga mihayo ya b’ub’i na ya soni yiniyo habhutongi bho bhana bhabho bho nduhu nulu gucha soni, kunguno bhali na nhungwa ja bhubhi umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagabhalangaga abhana bha ha kaya jabho gwita mihayo ya b’ub’i kunguno ya nhungwa jabho ijabhubhi jinijo, umukikalile kakwe.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhasinzaga ngoko ni jiyu jilib’ona, kunguno na bhoyi bhagitaka mihayo ya soni na bhana bhalibhona, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “igulilu lya ngoko gugula na gusinza ji jiyu jilib’ona.”

Ulusumo lunulo lolanga bhabyaji higulya ya guleka nhungwa ja gwita mihayo ya soni na bhana bhalib’ona, bho gwikala na nhungwa jawiza kugiki bhadule gubhinha lilange lyawiza abhana bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-30.

Zaburi 106:39.

Mathayo 22:23-33.

Waefeso 5:3.

1Wathesalonike 4:3-6.

Wakolosai 3:5.

Wagalatia 5:19.

KISWAHILI: GULIO LA KUKU, KUNUNUA NA KUCHINJA NA VIFARANGA WANAONA.

Gulio la kuku ni soko lile ambalo watu huuza na kununua kuku. Kwenye soko hilo wanunuaji wa kuku huwanunua na kuwachinja na vifaranga wakiwa na wanaona, kwa sababu ya kutaka kupata pesa kwa kupika nyama ya kuku na kuiza hapo gulioni. Ndiyo maana watu husema kwamba, “gulio la kuku kununua na kuchinja na vifaranga wanaona.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hutenda maovu na mambo ya aibu na watoto wakiwa wanaona, katika maisha yao. Watu hao, hutenda maovu hayo na mambo hayo ya aibu mbele ya watoto wao bila hata ya kuona aibu kwa sababu wanatabia mbaya, maishani mwao. Wao huwafundisha watoto wao tabia ya kutenda maovu kwa sababu ya tabia yao hiyo mbaya ya kutenda mambo ya aibu, mbele ya watoto wao hao, katika maisha yao.

Watu hao hufanana na wale waliochinja kuku na vifaranga wakiwa wanaona, kwa sababu nao hutenda maovu na mambo ya aibu mbele ya watoto wao hao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “gulio la kuku kununua na kuchinja na vifaranga wanaona.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kuacha tabia ya kutenda mambo ya aibu mbele ya watoto wao, kwa kuishi katika tabia njema, ili waweze kuwapatia malezi mema watoto wao hao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-30.

Zaburi 106:39.

Mathayo 22:23-33.

Waefeso 5:3.

1Wathesalonike 4:3-6.

Wakolosai 3:5.

Wagalatia 5:19.

 

ENGLISH: CHICKEN MARKET, TO BUY AND SLAUGHTER WHILE CHICKS ARE WATCHING.

Chicken market is an arcade where people sell and buy chickens. In that arcade, chicken buyers buy and kill them while chicks are watching, because they want to make money by cooking chicken meat and selling it there in the market. That is why people say, “Chicken market, to buy and slaughter while chicks are watching.”

This proverb is related to individuals who do evil deeds by doing shameful acts in front of their children in their lives. These people do those evil deeds shamefully in front of their children without even feeling ashamed because they have wicked manners in their lives. They teach their children practices of doing evil deeds because of their evil conducts of doing shameful deeds in front of their children in their lives.

These people are like those who slaughtered chickens in front of their chicks, because they also commit evil deeds by doing shameful acts in front of their children in their lives. That is why people say to them that, “Chicken market, to buy and slaughter while chicks are watching.”

This proverb teaches parents to stop doing shameful acts in front of their children, by living in virtuous character, so that they can provide their children with worthy upbringings in their lives.

Matthew 5:27-30.

Psalm 106:39.

Matthew 22:23-33.

Ephesians 5:3.

1Thessalonians 4:3-6.

Colossians 3:5.

Galatians 5:19.

 

turkey-218742__480

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.