1331. OB’UKAGA HASI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile b’ub’uki bho ng’wa munhu uyo winga kuwelelo. Umunhu ng’wunuyo agabhukila muli munhu uyo aginikwa lina lyakwe aho obyalwa kunguno ya gufunya likujo ukuliweyi na gulanhana ludugu. Hunagwene ulu munhu winikwa lina lya njimiji, abhanhu bhagayombaga giki, unjimiji ng’wunuyo, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo akikalaga na nhungwa jawiza kugiki adule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nhungwa jawiza abhiye bho gutumama milimo chiza na gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhiye bhenabho. Uweyi agadulaga ugubhalela bho gubhalanga nzila ja kubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhitila ya wiza abhiye mpaga ilina lyakwe winikwa ung’wana uyo agabyalwa, kunguno nuweyi agabhalangaga abhiye nhungwa ja gubhambilija ugubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanbu bhagang’wizukaga ulu bhabhubhona uwiza bho lilande lyakwe bho guyomba giki, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa jawiza bho gwikala na bhichabho chiza, kugiki bhadule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, ulu bhinga ukuwelelo.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

KISWAHILI: AMEINUKA CHINI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea uinukaji wa mtu yule aliyefariki dunia. Mtu huyo aliinuka kupitia mtu aliyepewa jina lakwe baada ya kuzaliwa kwa sababu ya kuonesha heshima kwake na kutunza undugu. Ndiyo maana mtu anapopewa jila na marehemu watu husema kwamba, yule marehemu, “ameinuka chini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaishi malezi mema yawezayo kumpatia uzima wa milele, baada ya kuaga dunia. Mtu huyo, huwafundisha wenzake tabia njema ya kuishi malezi mema kwa kujibidisha kufanya kazi na kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo mbalimbali, kwa sababu ya upendo alionao kwa watu wake hao. Yeye hufanikiwa kuwapatia malezi hayo mema watu wa kwenye familia yake, kwa kuwafundisha njia za kuupata uzima huo wa milele, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewatendea mema wenzake mpaga jila lake akapewa mtoto aliyezaliwa, kwa sababu naye huwafundisha wenzake malezi mema ya kuwasaidia kuupata uzima wa milele, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humkumkuka wanapoyaona mema yake hayo, kwa kusema kwamba, “ameinuka chini.”

Msemo huo huwafundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwafundisha wenzao namna ya kuyaishi malezi mema, ili waweze kuupata uzima wa milele baada ya kuaga dunia.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

ENGLISH: THE ONE HAS RISEN DOWN.

The origin of this saying refers to the rise of a person who has passed away. Such person rose through the person who was given his name after birth because of showing respect for him in taking care of the family. That is why when a person is given a name of a deceased one, people say that, “the one has risen down.”

This saying is matched to a person who lives a worthy upbringing that can give him eternal life after passing away. This person teaches his people decent conducts of living a upright upbringing by working hard and helping others who are in various hitches, because of having a true love for his populaces. He succeeds in giving decent nurture to the people in his family by teaching them about ways which can help them enough to gain such eternal life because of his upright character in his life.

This person resembles the one who did good deeds to his societal members who gave his name to a newborn child, because he also teaches his family members about virtuous upbringings which can assist them in gaining eternal life. That is why those people praise him when they see his decent deeds by saying that “the one has risen down.”

This saying instills in individuals a clue of having a decent attitude for teaching their family members on how to live a blameless upbringing, so that they can gain eternal life after passing away.

1 Corinthians 15:53-58.

1 Thessalonians 4:13-17.

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.