Aho kale olihoyi munhu uyo wibhaga jinhu ja bhiye bho nzila ya gwiyelelwa. Umunhu ng’wunuyo ojisolaga ijikolo ja bhiye jinijo bho gubhitila nzila ya gwiyelelwa nabho giki agujishosha kulikanza lilebhe. Aliyo lulu ulu lyagashiga ilikanza lya gujishosha ijikolo jinijo wandyaga guhindanya kunguno ojibhaga ijinhu jinijo bho nzila ya kujilanda. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “nsambo o gwiyelelwa.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agibhaga jinhu ja bhiye bho gutumila nzila ya kuyomba mihayo ya bhulomolomo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo ya bhulomolomo mingi iyo idulile gung’wambilija ujigusola ijinhu ja bhiye jinijo kunguno ya bhusambo bhokwe bhunubho. Uweyi agidumaga na bhiye aha kaya yakwe kunguno ya gubhibhila jikolo jabho bho gutumila guyomba mihayo ya bhulomolomo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo wibhaga jinhu ja bhiye bho nzila ya kujilanda na jabhiza jakwe, kunguno nuweyi agibhaga jinhu ja bhiye bho nzila ya kuyomba mihayo ya bhulomolomo mpaga ojisola na gujikalana, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nsambo o gwiyelelwa.”
Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhusambo bho guyomba mihayo ya nhana, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
1 Yohana 2:16-17.
2 Timotheo 3:6.
KISWAHILI: MWIZI WA KUELEWANA.
Hapo zamani alikuweo mtu aliyeiba vitu vya wenzake kwa njia ya kuelewana. Mtu huyo, alivichukuka vitu hivyo vya wenzake kwa kutumia njia hiyo ya kuelewana kwamba atavirudisha muda fulani. Lakini muda huyo ulipofika alianza kukata kona kwa sababu aliviiba vitu hivyo kwa kutumia njia hiyo ya kuviazima. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mwizi wa kuelewana.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huiba vitu vya wenzake kwa kutumia njia ya kusema maneno ya uongo, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea maneno ya uongo mengi yanayoweza kumsaidia kuvichukua vitu hivyo vya wenzake kwa sababu ya wizi wake huo. Yeye hukosana na wenzake kwenye familia yake kwa sababu ya kuwaibia witu vyao kwa nji hiyo ya kusema maneno ya uongo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeiba vitu vya wenzake kwa njia ya kuviazima mpaka anabaki navyo, kwa sababu naye huiba vitu vya wenzake kwa njia ya kusema maneno ya uongo mpaka anavichukua na kukaa navyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mwizi wa kuelewana.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya wizi kwa kusema ukweli ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
1 Yohana 2:16-17.
2 Timotheo 3:6.

ENGLISH: THE THIEF OF UNDERSTANDING EACH OTHER.
Once upon a time, there was a man who stole his friends’ possessions by mutual promise. This man took those belongings from his friends by mutual bargain that he would return them at a certain time. But when such time came, he started to make excuses because he stole those possessions by borrowing them. That is why people called him “thief of understanding each other.”
This saying is paralleled to a man who steals belongings of his friends by speaking lies in his life. Such man speaks many lies that can help him to take possessions of his friends because of his theft. He quarrels with his friends in his family because of stealing their belongings by speaking lies in his life.
This man resembles the one who stole belongings of his friends by borrowing them until he keeps them, because he also steals possessions of his friends by speaking lies until he takes them and keeps them as his own in his life. That is why people called him “thief of understanding each other.”
This saying teaches people to abandon habit of stealing possessions of people by speaking the truth so that they can better nurture their families in their lives.
1 John 2:16-17.
2 Timothy 3:6.