1315. UNG’WENUYO ALINAKO AKALUB’OLA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile nzuki iyo igikalaga na kalub’ola. Akalub’ola kenako kabhile guti ka lifa ako inzuki yiniyo ikagatumilaka guluma bho kukachimike na kukaleka mumili uyo yagulumaga. Akoyi kagasagaga haho mili go ng’wa munhu uyo yanumaga inzuki yiniyo, mpaga bhakadubule. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ung’wunuyo alinako akalub’ola.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo akashokelaga gwita mihayo ya bhubhi, iyo oitaga aho olina nhungwa ja bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamanaga ushokela ugwita mihayo ya iyabhubhi guti gudukila bhanhu, na gubhikobya bho guchola gwikenya, kunguno ya gugawiya lilange lya gwikala bho bhutogwa na bhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga bhung’wene aha kaya yakwe kunguno ya gushokela gwita mihayo ya bhubhi yiniyo, umukikale kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na kalub’ola kanziki iyo iganuma munhu nhebhe, kunguno nuweyi alina kalub’ola kagwita mihayo ya bhubhi iyo oitaga ikale, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ung’wenuyo alinako akalub’ola.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhubhi bho gubhiza na bhutogwa kubhichabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza ugujibheje ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 17:12-14.

Mathayo 8:6.

Luka 4:40.

Matendo ya mitume 5:15-16.

Matendo ya mitume 19:12.

KISWAHILI: HUYO ANAKO KAMWIBA.

Chanzo cha msemo huo huangalia nyuki ambaye ana kamwiba akatumiako wakati wa kuuma. Kamwiba hako hufanana na kamwiba ka nyuki ambako hukaacha kwenye mwili wa yule aliyemuuma. Kenyewe hubakia kwenye mwili huo aliouuma yule nyuki mpaka wakang’oe. Nidyo maana watu husema kwamba, “huyo anako kamwiba.”

Msemo huo hulinganishwa kwa yule ambaye huishi kwa kutenda maovu aliyatenda zamani katika maisha yake. Mtu huyo, huyarudia maovu  hayo aliyotenda, kwa kutukana watu na kuwachokoza kwa lengo la kutaka kupigana kwa sababu ya kukosa malezi ya kuishi na watu kwa upendo, maishani mwake. Yeye hubaki peke yake kwenye familia yake kwa sababu ya kukosa malezi hayo mema ya kuishi na watu kwa upendo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kale kwa mwiba ka nyuki aliyemuuma mtu fulani, kwa sababu naye ana kamwiba ka kutenda maovu aliyoyatenda zamani, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo anako kamwiba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda maovu kwa kuishi na watu kwa upendo, ili waweze kusaidiana katika kuziendeleza vyema, familia zao, maishani mwao.

Luka 17:12-14.

Mathayo 8:6.

Luka 4:40.

Matendo ya mitume 5:15-16.

Matendo ya mitume 19:12.

animal-2612075__480

ENGLISH: THAT ONE HAS A STINGER.

The origin of this saying looks at a bee that has a stinger which it uses when stinging. This stinger is a bee stain that it leaves in the body of the one whom it stung it. It remains in the body that the bee stung until it is removed. That is why people say that, “that one has a stinger.”

This saying is matched to someone who lives by committing evil deeds which he committed in the past in his life. This person repeats evil deeds which he committed, by insulting people and provoking them with an aim of fighting because of lacking upbringing which can help him to peacefully live with people in his life. He remains alone in his family because of lacking such sound upbringing for living well with people in his life.

This person is similar to the bee stinger that stung someone, because he also has a stinger of doing evil deeds which he committed in his past life. That is why people say about him that, “that one has a stinger.”

This saying teaches people about forsaking habit of doing evil deeds by living peacefully with people in their lives, so that they can help each other in developing their families.

Luke 17:12-14.

Matthew 8:6.

Luke 4:40.

Acts 5:15-16.

Acts 19:12.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.