Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhanhu abho bhimbilaga mbina bho ndiima bhuli ng’wene ludima lokwe. Abhanhu bhenabho bhatumamaga milimo lihamo bho ludima kunguno bhuli ng’wene obhimbilaga abhiye bho gutumila ng’oma iyo yabhambilijaga uigutumama imilimo yabho. Umo obhanhu bhenabho obhimbilaga chiza noyi abhiye ulu loshiga uludima lokwe kunguno oliagutogilwe noyi unimo gokwe gunuyo. Hunagwene agayomba aho obhimbila abhiye giki, “lelo nane nalilyimbila.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe ugugutumama chiza unimo gokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamishiga diyu ogagutumama bho bhuyegi unimo gokwe mpaga ogumala chiza kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe ubho uguyitumama chiza imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalyimbila chiza ililima oho loshiga uludima lokwe umubhutumami bhokwe bhunubho, kunguno nuweyi agaitumamaga chiza imilimo yakwe mpaga oyimala, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “lelo nane nalilyimbila.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gwigulambija guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumila umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.
Luka 12:38.
1 Wakorintho 14:27.
1 Mambo ya nyakati 6:32.
KISWAHILI: LEO NA MIMI NIMEWAIMBISHA.
Chanzo cha msemo huu huongelea watu wanaimbisha kwa zamu kila mmoja zamu yake. Watu hao walikuwa wakifanya kazi pamoja kwa zamu kwa sababu kila mmoja wao aliwaimbisha wenzake kwa kutumia ngoma iliyowasaidia kufanya kazi zao vizuri. Mmoja wao aliwaambisha vizuri sana wenzake kila ilipofika zamu yake kwa sababu alikuwa anaipenda sana kazi yake hiyo. Ndiyo maana alipowaimbisha wenzake alisema kwamba, “leo na mimi nimewaimbisha.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayependa kuitekeleza vizuri kazi yake katika maisha yake. Mtu huyo, huamuka asubuhi na kwenda kuifanya kazi kwa furaha mpaka anaimaliza vizuri kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuyatekeleza majukumu yake hayo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi katika familia yake kwa sababu ya kujibisha kwake huko kuyatekeleza majukumu yake vizuri, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaimbisha vizuri wenzake ilipofisha zamu yake katika kazi yake hiyo, kwa sababu naye huzitekeleza vizuri kazi zake mpaka anazimaliza, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “leo na mimi nimewaimbisha.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kujibidisha kuzifanya vizuri kazi zao, ili waweze kupata mali za kutosha kutumia katika familia zao, maishani mwao.
Luka 12:38.
1 Wakorintho 14:27.
1 Mambo ya nyakati 6:32.



ENGLISH: TODAY I ALSO HAVE SUNG THEM.
This saying speaks of people who sing in turn each in opportunity. These people were working together in chances because each of them sang to their colleagues by using a dance that helped them do their jobs well. One of them told his colleagues very well every time it was his turn because he liked his job so much. That is why when he sang to his colleagues he said, “Today I also have sung them.”
This saying is related to a person who likes to carry out his duties well in his life. Such person wakes up in the morning and goes to work happily until he finishes it well because of his hard working life enough to carry out his duties in his life. He gets a lot of wealth in his family because of carrying out nicely his responsibility of fulfilling his duties in life.
This person resembles the one who sang well to his colleagues when his turn in his work came, because he also performs his tasks well until he finishes them in his life. That is why he says that, “Today I also have sung them.”
This saying imparts in people an idea of developing good interest enough to work hard in doing their jobs, so that they can get enough wealth to spend in their families, in their lives.
Luke 12:38.
1 Corinthians 14:27.
1 Chronicles 6:32.