1303. AB’AYANDA B’ANG’WASINZO MDACHAGA SONI.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhugayiwa bho soni bho b’ayanda bha ng’wa Sinzo. Olihoyi munhu uyo agaja kukaya yabho ugaiyitila ya wiza ikaya ya ng’wa Sinzo yiniyo. Uweyi wiganikaga giki abhanhu bhenabho bhagufunya bhulumbi ukuli weyi kunguno ya wiza bhunubho ubho obhitila. Aliyo lulu, ab’ayanda bha ha kaya yiniyo bhagang’witila mihayo ya bhubhi. Hunagwene agayomba giki, “ab’ayanda bho ng’wa sinzo mdachaga soni.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adalumbaga ulu witilagwa mihayo ya wiza na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahijaga abhiye abho bhagang’witilaga mihayo ya wiza kunguno ya bhujidalumba bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa abhanhu bha gung’wambilija aha kaya yakwe ulu opandikaga makoye kunguno ya gubhitila mihayo ya bhubhi abhanhu abho bhagang’wambilijaga bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga na b’ayanda bha ng’wa sinzo abho bhagang’witila mihayo ya bhubhi uyo agabhitila ya wiza aha kaya yabho, kunguno nuweyi agabhadahilijaga abhiye abho bhagang’witilaga mihayo ya wiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ab’ayanda bho ng’wa sinzo mdachaga soni.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhulumbilija ukubhanhu abho bhagabhitilaga mihayo ya wiza, kugiki bhadule gwiyambilija ugujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Zaburi 25:4.

Marko 14:41.

Yohane 13:18.

KISWAHILI: WAVULANA WA SINZO HAMUONI AIBU.

Chanzo cha msemo huo huangalia hali ya kutokujisikia aibu kwa wavulana wa Sinzo. Alikuwepo mtu aliyeenda kwenye familia ya hao wavulana akaitendea wema familia hiyo ya Sinzo. Yeye alitegemea kwamba, watu hao wangetoa shukrani kwake kwa wema huo aliowatendea. Lakini basi, wavulana wa kwenye familia hiyo, walimtendea uovu. Ndiyo maana alisema kwamba, “wavulana wa sinzo hamuoni aibu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu asiyekuwa na moyo wa shukrani anapotendewa wema na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo huwadharau wenzake wanaomtendea mema kwa kutokuwajali kwa sababu ya kukosa moyo wa shukrani maishani mwake. Yeye hukosa watu wa kumsaidia anapokumbwa na matatizo katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuwatendea uovu huo wale wanaomsaidia, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale wavulana wa sinzo waliomtendea uovu yule aliyewatendea wema, kwa sababu naye huwatendea uovu wa kuwadharau wenzake wanaomtendea wema, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “wavulana wa sinzo hamuoni aibu.”

Msemo huo, huwafundisha watu juu ya kuwa na moyo wa shukrani kwa watu wanaowatendea wema, ili waweze kusaidiana katika kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 25:4.

Marko 14:41.

Yohane 13:18.

ENGLISH:  SINZO BOYS ARE NO ASHAMED.

The cradle of this saying stares at shamelessness of Sinzo’s boys. There was someone who went to Sinzo’s boys of boys and treated such family well. He hoped that those people would thank him for such kindness which he did to them. But then, these boys treated him severely. That is why he said that, “Sinzo boys are not ashamed.”

This saying is compared to a person who does not have a heart of gratitude when he is treated well by his colleagues in his life. Such person despises his colleagues who treat him well with indifference because of a lack of gratitude in his life. He has no people who can help him when he is faced with hitches in his family because of evil treatment to those who help him in his life.

This person is similar to Sinzo’s boys who treated maliciously the one who treated them well, because he also treats them with evil of despising his colleagues who treat him well, in his life. That is why those people tell him that, “Sinzo boys are not ashamed.”

This saying teaches people about having a gratitude heart to people who treat them well, so that they can help each other in developing their families in their lives.

Psalm 25:4.

Mark 14:41.

John 13:18.

 

africa-2629970_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.