1302. ABHANGI NDUHU.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile winhiwa bho bhutale bho ng’wa munhu nhebhe. Olihoyi munhu uyo ong’winhaga bhutale munhu uyo oliandebhile.  Aho lyashika ilikanza, umunhu ng’winuyo agabhona bhaliza bhanhu bhangi abho adabhahayile mpaga nose ubhawila giki bhanjile ung’winikili bhutale bhunubho. Hunagwene agabhalema abhangi bhenabho bho guyomba giki, “abhangi nduhu.”

Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aginhagwa nimo ogutumama chiza gitumo gudakililwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agaidebhaga chiza imilimo iyo aginhiyagwa na ogatumama chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bha ha kaya yakwe gutumama milimo yabho chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agaja gujung’winha bhutale ung’wilikili bhutale ng’wunuyo, kunguno nuweyi agaitumama chiza imilimo iyo aginhiyagwa na bhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhalemaga abhangi bho guyomba giki, “abhangi nduhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gutumama chiza imimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kutoka 31:6.

Hesabu 16:5.

Kumbukumbu la Torati 10:15.

Matendo ya mitume 22:14.

Luka 6:13.

KISWAHILI: WENGINE HAPANA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia upewaji wa ukubwa wa mtu fulani. Alikuwepo mtu aliyeenda akimpatia ukubwa mtu aliyekuwa anamfahamu. Ulipofika ule wakati, mtu huyo aliona watu wengine wanafika kwake wale ambao hakuwataka mpaka mwishowe aliwaambia watu wamfuate mwenye ukubwa huo. Ndiyo maana aliwakataa wengine kwa kusema kwamba, “wengine hapana.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupewa kazi na kuzitekeleza vizuri kama inavyotakiwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huzielewa vizuri kazi anazopewa ndipo anazitekeleza vizuri kwa sababu ya unyoofu wake huo wa kutenda haki, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu wa kwenye familia yake kufanya kazi zao vizuri, kwa sababu ya unyoofu wake huo wa kutenda haki, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kumpatia ukubwa yule aliyemfahamu akahakikisha kuwa anampatia mwenye ukubwa huo, kwa sababu naye huzitekeza vizuri kazi anazopewa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu huwakataa wengine kwa kusema kwamba, “wengine hapana.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyoofu wa kutenda haki kwa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Kutoka 31:6.

Hesabu 16:5.

Kumbukumbu la Torati 10:15.

Matendo ya mitume 22:14.

Luka 6:13.

zulu-kingdom-3411052_1280

ENGLISH: OTHERS ARE NOT.

This saying looks at a given leadership of a certain person. There was a person who went to give a leadership to someone whom he knew. When that time came, such man saw other people coming to him whom he did not know until finally he told all people to follow the chosen one. That is why he rejected others by saying, “others are not.”

This saying is related to a person who is given tasks and performs them well as they are required be done in his life. Such person understands well the tasks which are given to him and then he executes them well because of his sincerity of doing justice in his life. He teaches him family members on how to correctly do their jobs, because of his honesty in his life.

This person resembles the one who went to give leadership to someone whom he knew and made sure that he gives it to such chosen one, because he also performs well the tasks which are given to him by his colleagues in his life. That is why people reject others by saying, “others are not.”

This saying imparts in people a clue of being honesty enough to do justice to their societal members by performing their duties well, so that they can quickly advance their families in their lives.

Exodus 31:6.

Numbers 16:5.

Deuteronomy 10:15.

Acts 22:14.

Luke 6:13.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.