Imbuki ya kahayile kenako iholelile higulya ya likumbo. Ilikumbo linilo jili ginhu ja kupyagula bho gwinja mapalala kugiki jele aho ilipyagulwa henaho. Amapalala genayo gadulile gwikala hang’walida, mubhusiga nulu hosehose aho gadudakilagwa gikale. Aho lyapyagulaga ilikumbo igabhelelaga chiza hoyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lyabhita ilikumbo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhahugulaga abhiye bhaleke nhungwa jabhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo alina nhungwa jawiza ijagubhahugula abhiye abho bhagitaga miito gabhubhi, bhayileke iyabhubhi yiniyo bho gwita yawiza, kunguno ya bhutogwa ubho alinabho ikubhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni likumbo ilogapyagulaga mapalala hanhu mpaga yela hoyi, kunguno nuweyi agabhahugulaga abhangi bhaleke inhungwa ijabhubhi kugiki bhadule gwikala na nhungwa jawiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyabhita ilikumbo.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikala na nhungwa jawiza ijagubhahugula abhichabho bhaleke inhungwa ijabhubhi, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 3:12.
Yhana 15:2.
Mathayo 5:8.
Matendo 15:9.
1Wakorintho 5:7.
KISWAHILI: UMEPITA UFAGIO.
Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya ufagio. Ufagio huo ni kitu cha kufagia takataka kwa kuiondoa pale isipotakiwa kuwepo ili pale papendeze. Takataka hiyo yaweza kuwepo kwenye sehemu ya kupigia mtama, kwenye matama wenyewe au popote pale isipotakiwa kuwepo. Pale ambapo ufagio huo umepita hupendeza vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “umepita ufagio.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwarekebisha wengine waache tabia ya kutenda maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, anatabia njema ya kumwezesha kuwarekebisha wengine ili waache matendo maovu kwa kutenda mema, kwa sababu ya upendo alionao kwa wenzake hayo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kuwalea vyema watu wanaoishi kwenye familia yake, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na ule ufagio uliofagia takataka mpaka sehemu hiyo ikawa safi, kwa sababu naye huwalekebisha wenzake waache kutenda maovu, kwa kutenda mema, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umepita ufagio.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kuwarekebisha wenzao waache kutenda maovu kwa kutenda mema, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Mathayo 3:12.
Yohana 15:2.
Mathayo 5:8.
Matendo 15:9.
1Wakorintho 5:7.

ENGLISH: THE BROOM HAS PASSED.
The source of this saying talks about a broom. This broom is something which people use for sweeping garbage by removing them where they are not supposed to be, so that such area becomes clean. The garbage can be in the millet field, dams themselves or anywhere where it should not be. When the broom has passed, such place appears good. That is why people say that, “the broom has passed.”
This saying is compared to a man who corrects others enough to make them stop doing evil habits in life. He has a good attitude that enables him to correct others so that they can stop doing wicked deeds by doing good ones, because of true love which he has to his colleagues in life. He manages to nurture well all people who live in his family, because of his good character in his life.
This person is like a broom that sweeps away the garbage until that portion becomes clean, because he also directs his colleagues enough to stop them from doing evil by doing good deeds in life. That is why people tell him that, “the broom has passed.”
This saying instills in people a clue on having good deeds enough to enable them correctly lead their dukes in stop doing evil by doing good deeds, so that they can raise well their family members in their lives.
Matthew 3:12.
John 15:2.
Matthew 5:8.
Acts 15:9.
1 Corinthians 5:7.