1299. OSANJA NALIMAGULU IGANDA.

Olihoyi munhu uyo olioloma lugendo lo gujugisha maduguye. Umunhu ng’wunuyo agayuchola imondoka iyagunshisha koyi kunguno ya yalikule noyi. Ijinakuchola chiniko agasanja nalimagulu iganda ilo ligitanagwa lingongongo kunguno lilimagulu mingi. Uweyi agibakila moyi lyunchala mpaga ushiga ukubhaduguye bho nduhu gupandika makoye gosegose kunguno ligabhuchaga bhanhu bhingi. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “osanja nalimagulu iganda.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agacholaga sabho mpaga ojipandika umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajicholaga isabho jinijo bho bhukamu bhutale mpaga ojipandika kunguno ya wigulambija na wiyumilija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo chiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho ugutumama milimo chiza na wiyumilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ocholaga mondoka ya gwibhakila umulugendo lokwe usanja na limagulu iganda ilo liganshisha mpaga kubhaduguye, kunguno nuweyi agacholaga sabho bho wiyumilija mpaga ujipandika umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “osanja nalimagulu iganda.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwigulambija gutumama milimo yao mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yeremia 17:25.

Yeremia 22:4.

KISWAHILI: AMEKUTANA NA LENYE MIGUU MINGI.

Alikuwepo mtu aliyepanga safari ya kwenda kuwasalimu ndugu zake. Mtu huyo alianga kutafuta gari la kumfikisha huko kwa sababu ilikuwa mbali sana. Akiwa katika hali ya kutafuta hivyo, alikutana na lenye miguu mingi ambalo huitwa garimoshi kwa sababu lina miguu mingi. Yeye alipanda kwenye gari moshi hilo, likamsafirisha mpaga kwa ndugu zake bila kupata matatizo yoyote kwa sababu lenyewe linauwezo wa kubeba watu wengi. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “amekutana na lenye miguu mingi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta mali mpaga anaipata katika maisha yake. Mtu huyo, huitafuta mali hiyo kwa bidii kubwa ya kutekeleza majukumu yake mpaga anaipata kwa sababu ya kujibidisha kutafuta kwa uvumilivu wake huo, maishani mwake. Yeye hutajirika kwa kupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya uvumilifu wake huo wa kujibidisha kufanya kazi vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetafuta gari za kusafiria akapata gari moshi lililompeleka mpaga kwa ndugu zake, kwa sababu naye hujibidisha kutafuta mali mpaga anazipata, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amekutana na lenye miguu mingi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kujibidisha kufanya kazi vizuri mpaka wanazimaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Yeremia 17:25.

Yeremia 22:4.

ENGLISH: HE MET THE ONE WHICH HAS MANY LEGS.

There was a man who planned a journey for greeting his brothers. He started looking for a car that can take him there because it was too far. While he was searching for that, he met the one which has many legs which is called train because it has many legs. He boarded it which transported him to his brothers without any glitch because it can carry many people. That is why people said that, “he has met the one which has many legs.”

This saying is matched to a person who looks for riches which he finds in life. Such person looks for that wealth with great effort enough to carry out his duties, but he gets it because he searches for it with his patience, in his life. He gets rich by getting a lot of wealth in his family because of his perseverance that is strong enough to work well, in his life.

This person resembles the one who looked for traveling car and found a train that took him to his brothers, because he also struggles to find wealth which he finds in his life. That is why people tell him that, “he has met the one which has many legs.”

This saying teaches people about having strong patience enough to work hard until they finish their works, so that they can get a lot of success in their lives.

Jeremiah 17:25.

Jeremiah 22:4.

 

 

train-7501073_1280

train-60539_1280

train-3758523_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.