Bhali hoyi bhanhu abho bhagamona mhunhu nhab’i alina sabho ijo uliojikuga. Abhanhu bhenabho aho bhamona bhagamuja, “ojifunyaga heyi isabho jinijo iki ulinhabhi?” Uweyi agashosha, “najikugaga.” Abhoyi bhagalema bhaliyomba, “udajikugile, ubhebhe ojibhaga duhu!” Hunagwene abhanhu bhagandya guyuyomba giki, “unhab’i adikugaga ulu wikuga uwilwa wib’aga.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu nsabhi uyo ugabhadalahaga abhahab’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahaga abhanhu abho bhadina sabho kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu abha ha kaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe ubho gubhitila libheng’we abhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhagang’wila wibhaga umunhu uyo agikuja sabho, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhanhu abho bhadinasabho umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “unhab’i adikugaga ulu wikuga uwilwa wib’aga.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhudoshi bho gubhadalaha abhahabhi, kugiki bhadule gwikala ni kujo kubhanhu bhose ilya gubhambilija ugujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.
Kutoka 22:25.
Mambo ya walawi 14:31.
2 Samweli 12:1-6.
Kumbukumbu la Torati 15:4.
KISWAHILI: MASKINI HAOKOTI AKIOKOTA HUAMBIWA KAIBA.
Walikuwepo watu waliomuona mtu maskini na mali alizoziokota. Watu hao walipomuona walimuuliza, “umezitoa wapi mali hizo kwa vile wewe ni maskini?” Yeye aliwajibu, “nimeziokota.” Wao walikataa wakisema “hukuziokota, wewe umeziiba tu.” Ndiyo maana watu wakaanza kusema kwamba, “maskini haokoti akuziokota huambiwa kaiba.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu tajiri ambaye huwadharau maskini katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu wale ambao hawana mali kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu katika familia yake, kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na wale waliomdharau mpaka wakamwita mwizi, maskini aliyeokota mali, kwa sababu naye huwadharau maskini maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “maskini haokoti akiokota huambiwa kaiba.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha majivuno ya kuwadharau watu maskini, ili waweze kuwa na hekima ya kuwaheshimu watu wote, itakayosaidia katika kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Kutoka 22:25.
Mambo ya walawi 14:31.
2 Samweli 12:1-6.
Kumbukumbu la Torati 15:4.

ENGLISH: THE POOR DOES NOT PICK UP, IF HE/SHE PICKS UP HE/SHE IS TOLD THAT HE/SHE HAS STOLEN.
There were people who saw a poor man who had wealth which he picked up. When they saw him, they asked him, “Where did you get those possessions since you are poor?” He answered them, “I have picked them up.” They refused, saying “you did not pick them up, you just stole them.” That is why people began to say that, “the poor does not pick up, if he/she picks up he/she is told that he/she has stolen.”
This saying is matched to a rich man who despises the poor ones in his life. Sucgh person, despises those who have no wealth because of his pride, in his life. He fails to live well his family members, because of his pride, in his life.
This person is similar to those who despised a poor one until they called him a thief, while he collected wealth, because he also despises the poor ones in his life. That is why he tells them that, “the poor does not pick up if he/she picks up he/she is told that he/she has stolen.”
This saying instills in people an idea of leaving pride of despising poor people, so that they can have wisdom of respecting all people, which will help them in raising well their families, in their lives.
Exodus 22:25.
Leviticus 14:31.
2 Samuel 12:1-6.
Deuteronomy 15:4.