Akahayile kenako kahoyelile bhanhu abho bhagankumilijaga uyo bhadamonaga umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagalimaga jiliwa jatulwa mbula na jakula mpaga japya aliyo bhadamona uyo agiyenhaga imbula yiniyo. Abhoyi bhaganzunyaga Mulungu bho gulola miito ayo agabhitilaga umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dugankumilijaga ujidab’onwa.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhalinaguzunya gutale ukuli Mulungu uyo agabhinhaga nguzu ja gutumama milimo yabho mpaga bhayimala chiza, kunguno ya bhudula bhokwe bhunubho. Abhoyi bhagapandika sabho ningi umukaya jabho, na kubhalela chiza abhanhu bhabho kunguno ya gung’wisanya Mulungu chiniko, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhalimaga jiliwa bhabisha na kunkumilija Mulungu, kunguno nabhoyi bhagatumamaga milimo yabho mpaga bhayimala chiza bho gung’wisanya Mulungu, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dugankumilijaga ujidab’onwa.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gunzunya Mulungu, na kutumama milimo yabho bho gung’wisanya Weyi mpaga bhayimala, kugiki bhadule kupandika mbango ja gubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.
1Wafalme 18:36-39.
Zaburi 43:2-4.
Zaburi 46:1-4.
KISWAHILI: TWAMSIFU ASIYEONWA.
Msemo huo, huongelea juu ya watu ambao humsifu yule asiyeonwa, katika maisha yao. Watu hao, hulima mazao ya chakula ambayo hunyeshewa mvua mpaka yanazaa bila kumuona yule alinayeileta mvua hiyo. Wao huamini kuwa Mungu yupo kwa kuyaangalia matendo anayowatendea hata kama hawamuoni. Ndiyo maana wao husema kwamba, “twamsifu asiyeonwa.”
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yao. Watu hao, wana imani kubwa kwa Mungu ambaye huwapa nguvu za kuyatekelezea majukumu yao, mpaka wanayamaliza vizuri, kwa sababu ya uwezo wake huo. Wao hupata mali nyingi kwenye familia zao, na huwalea vizuri watu wao, kwa sababu ya kumtegemea Mungu, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na wale waliomsifu Mungu baada ya kulima mazao ya chakula na kupata mafanikio, kwa sababu nao hufanya kazi zao mpaka wanazimaliza kwa kumtegemea Mungu, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “twamsifu asiyeonwa.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu na kuyatekeleza majukumu yao yote, kwa kumtegemea Yeye, ili waweze kupata Baraka za kuwa na mafanikio mengi, maishani mwao.
1Wafalme 18:36-39.
Zaburi 43:2-4.
Zaburi 46:1-4.
ENGLISH: WE PRAISE THE UNSEEN.
This saying parleys about people who praise the unseen one in their lives. Those people grow food crops that are rained on until they bear fruits without seeing the one who brought the rain. They believe that God exists by looking at actions which He does to them even if they do not see Him. That is why they say that, “We praise the unseen.”
This saying is compared to people who do their works by relying on God, in their lives. Those people have great faith in God who gives them strength for carrying out their duties, until they finish them well, because of His power. They get a lot of wealth from their families, and they raise their people well, because of relying on God, in their lives.
Those people are similar to those who praised God after cultivating food crops and getting success, because they also do their works until they finish them by relying on God, in their lives. That is why they say that, “we praise the unseen.”
This saying imparts in people an idea of trusting God and carrying out all their duties by relying on Him, so that they can get blessings of having many successes in their lives.
1 Kings 18:36-39.
Psalm 43:2-4.
Psalm 46:1-4.

