Akahayile kenako kahoyilile bhumanyiki bho nh’ungwa ja ng’wa munhu uyo opandikaga sabho. Olihoyi munhu uyo oliadamanyikile chiza inh’ungwa jakwe umu jili aho oliatali ugujipandika imiya. Umunhu ng’wunuyo, aho ojipandika imiya abhanhu bhagajimana inh’ungwa jakwe kunguno agayubhadosa abhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “pandikaga mhiya (jikolo) dujimane nhu’ngwa jako.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhaga sabho wandya guyubhadosa abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadarahaga abhanhu abho bhadinajo isabho kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ijaguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gudoshiwa na sabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agapandika sabho wandya guyubhadosa abhanhu abho bhadinajo isabho, kunguno nuweyi agabhadarahaga abhanhu abho bhadina sabho guti jakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “pandikaga mhiya (jikolo) dujimane nhu’ngwa jako.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu abho bhajipandika isabho higulya ya guleka nh’ungwa ja gubhadosa abhanhu abho bhadina sabho, kugiki bhadule kupandika imbango ja kujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.
Luka 16:19-31.
Luka 12:16-21.
Marko 10: 17-22.
KISWAHILI: PATA PESA (MALI) TUJUE TABIA YAKO.
Msemo huo, huongelea juu ya ujulikanaji wa tabia ya mtu aliyepata mali. Alikuwepo mtu ambaye tabia yake haikufahamika vizuri wakati hajapata pesa. Mtu huyo, alipopata pesa watu waliifahamu tabia yake kwa sababu alianza kujivuna kwa kuwadharau wale ambao hawajapata mali kama zake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “pata pesa (mali) tujue tabia yako.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyetajirika kwa kupata mali akaanza kuwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu wale ambao hawana mali kwa sababu ya majivuno yake hayo maishani mwake. Yeye hukosa Baraka za kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kulingia mali zake hizo, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyepata pesa akaanza kuwadharau wenzake, kwa sababu naye pia huwadharau watu wale ambao hawana pesa, kama zake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “pata pesa (mali) tujue tabia yako.”
Msemo huo, hufundisha watu wenye mali juu ya kuacha tabia ya kuwadharau wale ambao hawana mali, ili waweze kupata Baraka za kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Luka 16:19-31.
Luka 12:16-21.
Marko 10: 17-22.
ENGLISH: GET MONEY (PROPERTY) SO WE KNOW YOUR CHARACTER.
This saying talks about character recognition of a person who got wealth. There was a man whose character was not well known when he did not earn money. That person, when he got money, people knew his behavior because he started becoming proud by looking down on those who have not got wealth like his. That is why people told him that, “get money (property) so we know your character.”
This saying is compared to a person who got rich by getting wealth and started to despise his colleagues, in his life. Such person despises those who have no wealth because of his pride in his life. He misses blessings of raising his family well because of his pride in life.
This person is like the one who got money and started despising his colleagues, because he also despises people who do not have money, like his own in his life. That is why people tell him that, “get money (property) so we know your character.”
This saying imparts in rich people an idea of stopping looking down on people who do not have money, so that they can get blessings for raising their families well, in their lives.
Luke 16:19-31.
Luke 12:16-21.
Mark 10: 17-22.
