1248. BHASANJAGA MAKONO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu nkwilima na nkwiye, nulu nina bhukwi na ng’winga okwe. Abhanhu bhenabho aha bhatali ugwimanila bho gulya kihamo, bhagabhulagaga ntugo guti mbuli, nulu ng’holo ya gusanja makono. Hunagwene ulu bhabhulagaga untugo gunuyo abhanhu bhagahaya giki “bhasanjaga makono.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali nikujo ukubhatale na bhageni bhabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagabhambilijaga chiza abhatale bhabho na gubhakaribhusha chiza abhageni abho bhagajaga aha kaya jabho kunguno ya likujo lyabho linilo, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga na bhanhu bhingi na sabho ningi aha kaya jabho jinijo kunguno ya gubhalela bho lilange liza abhanhu bhabho bhenabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagabhulaga ntugo go gusangija makono kunguno nabho bhali nikujo lya kubhambilija chiza abhatale na bhageni bhabho umukaya jabho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “bhasanjaga makono.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya kubhambilija abhatale na gubhokalibhusha chiza abhageni bhabho umukaya jabho kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho jinijo, umubhulamu bhobho.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-9.

KISWAHILI: WAMEKUTANISHA MIKONO.

Chanzo cha msemo huo chaongelea juu ya baba mkwe na mkwilima wake au mama mkwe na mkaa mwana wake. Watu hao kabla hawajazoeana kwa kula pamoja, huchinja mfugo kama vile mbuzi au kondoo wa kukutanisha mikono. Ndiyo maana wale waliokula mbuzi huyo watu husema juu yao kwamba, “wamekutanisha mikono.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana heshima kwa wakubwa na wageni wao, katika maisha yao. Watu hao, huwasaidia wakubwa na kuwakaribisha wageni wao vizuri katika familia zao, kwa sababu ya heshima yao hiyo, maishani mwao. Wao huishi na watu wengi na mali nyingi kwenye familia zao, kwa sababu ya kuwalea katika malezi mema watu wao hao.

Watu hao hufanana na wale waliochinja mfugo wa kukutanisha mikono, kwa sababu nao wana heshima ya kuwasaidia vizuri wakubwa wao na kuwapokea vizuri wageni katika familia zao. Ndiyo maana watu husema juu yao kwamba, “wamekutanisha mikono.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kuwasaidia watu na kuwakaribisha wageni kwenye familia zao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-9.

ENGLISH: THEY HAVE JOINED HANDS.

This saying talks about the father-in-law and his daughter-in-law or the mother-in-law and her daughter-in-law. Those people, before they get used to eating together, slaughter livestock such as goats or sheep for joining their hands together in their families. That is why those who ate the goat, people say about them that, “they have joined hands.”

This saying is equated to people who have respect to their superiors and guests, in their lives. Those people, help their elders and welcome their guests well in their families, because of their respect, in their lives. They live with many people and many assets in their families, because of raising their members in a good upbringing.

Those people are similar to those who slaughtered livestock for being together with their new family members, because they also have an honor of helping their elders and receiving guests well in their families. That is why people say about them that, “they have joined hands.”

This saying imparts in people an idea of having sound respect to each other enough to help people and welcome strangers in their families, so that they can raise their family members well in their lives.

Ephesians 6:1-4.

Proverbs 4:1-9.

appetizer-3315965__480

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.