1227. PANDULAGA MIHAYO.

Oliyohi munhu uyo uyombaga mihayo yakwe bho lilaka lidoni umumahoya gakwe. Umunhu ng’wunuyo, wikalaga muchalo ja bhanhu bhingi abho bhadumaga uguigwa chiza imihayo yakwe yiniyo kunguno ya guiyomba bho lilaka lidoni, umumahoya gakwe genayo. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagang’wila giki, “pandulaga mihayo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayombaga mihayo bho guyigondya, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, adaiyigololaga chiza umihayo ya mumahoya gakwe genayo, kunguno ya gubhisa ginhu ijo agikalaga adahayile igiki abhiye bhajimane, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga ugubhalela chiza abhanhu bha aha kaya yake kunguno ya guduma guigolola chiza imihayo ya mumahoya yakwe genayo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oyombaga mihayo yakwe bho lilaka lidoni, kunguno nuweyi agayomba mihayo yakwe bho nduhu uguigolola chiza, umumahoya gakwe genayo, aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “pandulaga mihayo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higlya ya guyomba bhunhana bho guigolola chiza imihayo ya mumahoya yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 10:16.

Luka 12:2-3.

KISWAHILI: PASUA MANENO.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiongea maneno yake kwa sauti ndogo katika maongezi yake. Mtu huyo, aliishi kwenye kijiji cha watu wengi, ambao walishindwa kuyasikia vizuri maneno yake kwa sababu ya kuyaongea kwa kutumia sauti ndogo. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “pasua maneno.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno yake kwa kuyapindisha, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hayanyoshi vizuri maneno yake hayo, kwa sababu ya kuficha kitu fulani ambacho huwa hataki watu wengine wakielewe, maishani mwake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya yeye kushindwa kuyanyoosha vizuri maneno yake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesema maneno yakwe kwa sauti ndogo mpaka wenzake wakashindwa kuyasikia, kwa sababu naye huongea maneno bila kuyanyosha vizuri mpaka watu wanashindwa kuyaelewa vizuri, katika maongezi yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “pasua maneno.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kusema ukweli kwa kuyanyosha vizuri maneno yao, katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 10:16.

Luka 12:2-3.

ENGLISH: BREAK THE WORDS.

There was a man who was speaking words in a low voice in his speech. Such person lived in a village of many people who failed to hear his words properly because he spoke them in a low voice. That is why those people told him that, “break the words.”

This saying is likened to a person who speaks his words by twisting them, in his life. Such person does not speak correctly his words, because he hides something that he does not want other people to understand, in his life. He fails to develop his family properly because of failing to properly stretch his words, in his life.

This person is similar to the one who said his words in a low voice until his colleagues could not hear them, because he also speaks words without stretching them properly until people are unable to understand them properly, in his speech. That is why people tell him that, “break the words.”

This saying teaches people about telling the truth by stretching their words properly, in their speech, so that they can raise their families well, in their lives.

Matthew 10:16.

Luke 12:2-3.

old-3391298_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.