Oliyohi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, agingila gulala umuchumba jakwe ukija ugwikumba ung’wenda mpaga wela aliyo imbeho yali nhali noyi. Uweyi akalala mpaga wela ubhujiku na wizuka gwikumba ng’wenda gokwe kunguno ya wiyibhu bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “wizuka ng’wenda gwa gwikumba ikanza welaga.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu ngosha uyo odila gutola nose unamhala na wiganika mhayo gwa gutola, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, wiganikaga mihayo yingi habhuyanda bhokwe mpaga nose unamhala na wandya gwiganika mhayo gwa gutola, kunguno ya gudilila milimo iyo idinasolobho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga ugubhuyegela ubhutoji bhokwe kunguno ya wiyibhu bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, akikolaga nuyo agiyibha gwikumba ng’wenda mpaga wela ubhujiku na wizuka ugugwikumba ung’wenda gunuyo, kunguno nuweyi igiyibha ugutola mpaga nose unamhala na wizuka gutola, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wizuka ng’wenda gwa gwikumba ikanza welaga.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwanguha gutumama milimo yabho iyasolobho bho gwigulambija na bhukamu bhutale ahikanza lya milimo yabho linilo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Yoshua Bin Sira 25:3.
KISWAHILI: UMEKUMBUKA SHUKA YA KUJIFUNIKA WAKATI KUMEKUCHA.
Alikuwepo mtu aliyekuwa akiishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo, aliingia chumbani mwake kulala bila kujifunika shuka wakati baridi ilikuwa kali sana. Yeye alilala mpaka asubuhi ndipo akakumbuka kujifunika shuka kwa sababu ya usahaurifu wake huo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umekumbuka shuka ya kujifunika wakati kumekucha.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mwanamume yule aliyechelewa kuoa mpaka akazeeka ndipo akafikiria kuoa, katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa akifikiria mambo mengine wakati wa ujana wake mpaka akazeeka ndipo akaanza kufikiria kuoa, kwa sababu ya kujali mambo yasiyo na faida, maishani mwake. Yeye alishindwa kuifurahia ndoa yake hiyo kwa sababu ya kujisahau kwake huko, wakati wa ujana wake, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyejisahau kujifunika shuka wakati wa baridi kali, mpaka asubuhi ndipo akakumbuka kujifunika, kwa sababu naye alijisahau kuoa mpaka akazeeka, ndipo akakumbuka kuoa, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umekumbuka shuka ya kujifunika wakati kumekucha.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwahi kuyatekeleza majukumu yao ambayo ni muhimu kwa bidii kubwa unapofika wakati wake, ili waweze kuyafikia malengo yao vizuri na kupata mafanikio mengi, maishani mwao.
Yoshua Bin Sira 25:3.
ENGLISH: YOU HAVE REMEMBERED THE SHEET TO COVER YOURSELF WHEN IT WAS MORNING.
There was a man who lived in a certain village. He went into his room to sleep without covering himself with a sheet when it was very cold. He slept until morning then he remembered to cover himself with a sheet because of his forgetfulness. That is why people told him that, “you have remembered the sheet to cover yourself when it was morning.”
This proverb is related to the man who delayed marrying until he was old and then he thought about marrying, in his life. Such man was thinking about other things during his youth until he got old and then he started thinking about getting married, because he cared about useless things in his life. He failed to enjoy his marriage because of his self-forgetfulness there, during his youth, in his life.
This is like the one who forgot to cover himself with a sheet during the cold winter, until morning then he remembered to cover himself, because he also forgot to marry until he was old, then he remembered to marry, in his life. That is why people told him that, “you have remembered the sheet to cover yourself when it was morning.”
This proverb imparts in people an idea of carrying out their duties which are important with great effort when the time comes, so that they can achieve their goals well and achieve many successes in their lives.
Joshua Bin Sira 25:3.
