Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhaja gujunlola ngeni uyo obhitilaga umuchalo jabho. Abhanhu bhenabho bhagaduma ugumona na gundebha chiza ungeni ng’wunuyo, kunguno agabhita wangu wangu aho bhasangwa bhiyebhaga. Hunagwene bhagayomba giki, “dagelela gubhona kalyeto duhu.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagiyebhaga ugutumama imilimo yabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagajaga ugujutumama imilimo yabho bhagalendela yingi duhu iyo idina solobho kunguno ya wiyebhu bhobho bhunubho, umubhutumami bho milimo yabho. Abhoyi bhagakelaga bhuli ng’waka umukaya jabho kunguno ya gwiyebha kutumama milimo yabho yiniyo, bho gulendela yingi iyo idina solobho yoseyose, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagaja gujunola ngeni bhugiyebha mpaga ubhita bhadamonile chiza, kunguno nabhoyi bhagajaga ugutumama imilimo yabho bhagiyibha bho gulendela iyo idina solobho yoseyose umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dagelega kubhona kalyeto duhu.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka gwiyebha gutumama milimo yabho bho gwigulambija guitumama na bhukamu bhutale, kugiki bhadule kupandima matwajo mingi, umukaya jabho.
Habakuki 1:11.
Luka 19:1-3.
KISWAHILI: TUMEKOMEA KUONA NUSU TU.
Walikuwepo watu walioenda kumuona mgeni aliyekuwa akipita katika kijiji chao. Watu hao, hawakuweza kumuona na kumfahamu vizuri mgeni huyo kwa sababu yeye alipita haraka wakati wao wakiwa wamejisahamu. Ndiyo maana walisema kwamba, “tumekomea kuona nusu tu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hujisahau kufanya kazi zao, katika maisha yao. Watu hao, huenda kufanya kazi zao na kupoteza muda wao kwa kujali vitu visivyo na faida yoyote kwao, kwa sababu ya kujisahamu kwao huko, katika utekelezaji wa majukumu yao. Wao hukosa chakula kila mwaka kwenye mashamba yao, kwa sababu ya kujisahamu kwao huko kufanya kazi zao, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na wale walioenda kumuona mgeni wakajisahau na kukomea kumuona nusu, kwa sababu nao pia huenda kufanya kazi zao na kupoteza muda wao kwa kujali vitu visivyo na faida yoyote, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tumekomea kuona nusu tu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kujisahau katika kuyatekeleza majukumu yao kwa kujibidisha kuzifanya kazi hizo kwa bidii kubwa, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao.
Habakuki 1:11.
Luka 19:1-3.
ENGLISH: WE HAVE ONLY SEEN HALF.
There were people who went to see a stranger who was passing through their village. Those people could not see and get to know the stranger well because he passed quickly while they were busy. That is why they said that, “we have only seen half.”
This saying is compared to people who forget to do their works, in their lives. Those people go to do their works by wasting their time caring about things that are of no benefit to them, because of their self-indulgence in the implementation of their duties. They lack food every year in their fields, because of their indulgence in doing their works, in their lives.
Those people are like those who went to see a stranger and forgot themselves by wasting their time in useless things until they ended up seeing him only half way, because they also go to do their works and waste their time worrying about things that have no benefit in their lives. That is why they say that, “we have only seen half.”
This saying imparts in people an idea of stopping from wasting their time in useless things themselves enough to carry out their responsibilities by forcing themselves to do those tasks with great effort, so that they can get a lot of success, in their families.
Habakkuk 1:11.
Luke 19:1-3.
