1224. BHUYENZE BHUDIZILAGA KULI MUNHU UWENE KU NDIMU DUHU.

Olihoyi munhu uyo wihayaga giki alina bhuyenze. Umunhu ng’wunuyo, wilenganijaga na Ndimu guti Shimba kunguno oliadamanile akalekanije ka munhu ni ndimu. Aliyo lulu, indimu jilina bhuyenze lelo umunhu atina bhuyenze. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “bhuyenze bhudizilaga kuli munhu uwene ku ndimu duhu.”

Ulusummo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adadebhile ugwikala chiza na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga abhadalahile abhanhu bha aha kaya yakwe guti giki bhadi bhanhu kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agaikenagulaga ikaya yakwe bho guduma uguilela chiza kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho ubho gumana ubhakalihila sagala abhiye, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo wilenganijaga na Shimba, kunguno nuweyi agaikenagulaga sagala ikaya yakwe bho gumana ubhakalihila sagala abhiye guti giki bhadibhanhu, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhuyenze bhudizilaga kuli munhu uwene ku ndimu duhu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gudebha gwikala chiza na bhichabho bho guleka gubhakalihila sagala abhichabho bhenabho, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 1:24-26.

KISWAHILI: MANYOYA HAYAOTI KWA MTU ILA KWA WANYAMA TU.

Alikuwepo mtu aliyejisema kuwa ana manyoa. Mtu huyo, alikuwa akijifananisha na wanyama kama simba kwa sababu hakujua tofauti ya mtu na wanyama. Lakini basi, wanyama wana manyoa bali mtu hana manyoa. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “manyoya hayaoti kwa mtu ila kwa wanyama tu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hafahamu kuishi vizuri na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu wa kwenye familia yake kana kwamba siyo watu kwa sababu ya majivuno na dharau zake hizo, maishani mwake. Yeye huiharibu kwa kuisambatisha familia yake kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwakaripia hovyo wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejifananisha na Simba, kwa sababu naye huisambaratisha familia yake kwa kuwakaripia hovyo wenzake kana kwamba siyo binadamu, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “manyoya hayaoti kwa mtu ila kwa wanyama tu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kufahamu namna ya kuishi vizuri na wenzao kwa kuacha kuwakaripia hovyo, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 1:24-26.

ENGLISH: FEATHERS DO NOT GROW ON HUMAN BEINGS BUT ONLY ON ANIMALS.

There was a man who said that he had feathers. This man was likening himself to animals like lions because he did not know the difference between man and animals. But then, animals have feathers but human beings do not. That is why people told him that, “feathers do not grow on human beings but only on animals.”

This proverb is equaled to a person who does not know how to live well with his colleagues, in his life. Such person despises people who live in his family as if they are not human beings because of his pride and contempt in his life. He destroys his family by disuniting its members because of his pride in reprimanding his colleagues carelessly in his life.

This person is similar to the one who compared himself to a lion, because he also destroys his family by scolding his colleagues carelessly as if they are not human beings in his life. That is why people tell him that, “feathers do not grow on human beings but only on animals.”

This proverb teaches people to know how to live well with their family members by stopping scolding them carelessly, so that they can develop their families well in their lives.

Genesis 1:24-26.

woman-1320103_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.