Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile higulya ya kikalile ka ng’wa munhu uyo alina liso libhi nuo owilu. Umunhu ng’winuyo, agabhalolaga abhanhu bho liso lya bhudaki golecha giki adabhatogilwe umugati ya nholo yakwe yiniyo, kunguno ya gugayiwa lilange lya gwitogwa chiza na bhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agitaga chene bho nduhu nulu gucha soni, umukikalile kakwe kunguno ya guleka gubhatogwa bhiye chiniko.
Giko lulu, nuyo agikilaga na wilu, agakolagwa umugati ya nholo yakwe ulu bhatandika ya wiza abhiye, kunguno ya gugayiwa lilange lya gubhatogwa bhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ouliso libhi adikibhukagwa nuowilu adikibhukagwa.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe gwito miito ga bhubhi gubhitilila miso gakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agitaga yabhubhi bho nduhu nulu gucha soni kunguno omanila chine, umuwikaji bhokwe. Uweyi agidumaga na bhanhu bhingi umuchalo jakwe kunguno ya gwita yabhubhi yiniyo niyo agabhizaga alemile nulu guwilwa na munhu ose ose, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuoliso libhi, kunguno nuweyi agitaga yabhubhi gubhitila miso gakwe bho nduhu nulu gucha soni, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ouliso libhi adikibhukagwa nuowilu adikibhukagwa.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka mijilo ya gwita miito ga bhubhi umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gujilela bho gwikala chiza, ikaya jabho, umuchalo jabho.
Mathayo 6:22-23.
Mathayo 5:29-30.
Wagalatia 5:16-26.
Mwanzo 30:1.
Ayubu 5:2.
Yakobo 3:16.
KISWAHILI: MWENYE JICHO OVU HAONI HAYA NA MWENYE WIVU HAONI HAYA.
Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya maisha ya mtu aliyekuwa na jicho ovu na wivu. Mtu huyo, alikuwa akiwaangalia watu kwa jicho la hasira kuonesha kwamba hawapendi watu hao ndani ya moyo wake, kwa sababu ya kukosa malezi yenye upendo kwa wenzake hao. Yeye alifanya hivyo bila hata ya kuona aibu, katika maisha yake kwa sababu ya kukosa upendo kwa wenzake hao.
Hivyo basi na mwenye wivu, naye hukasilika ndani ya moyo wake wanapofanikiwa wenzake, kwa sababu ya kukosa malezi yenye upendo kwa wenzake hao, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mwenye jicho ovu haoni haya na mwenye wivu haoni haya.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda kutenda maovu kupitia macho yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda maovu hayo bila hata ya kuona haya kwa sababu ya kuzoea kwake hivyo, katika maisha yake. Yeye hukosana na watu wengi kijijini mwake kwa sababu ya matendo yake hayo maovu, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na jicho ovu kwa wenzake, kwa sababu naye hutenda maovu kupitia macho yake na hata bila ya kuona haya, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwenye jicho ovu haoni haya na mwenye wivu haoni haya.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kutenda matendo maovu katika maisha yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
Mathayo 6:22-23.
Mathayo 5:29-30.
Wagalatia 5:16-26.
Mwanzo 30:1.
Ayubu 5:2.
Yakobo 3:16.
ENGLISH: ONE WHO HAS AN EVIL EYE IS NOT ASHAMED AND ONE WHO IS JEALOUS IS NOT ASHAMED.
This saying talks about a life of a person who had an evil eye and a jealous one. This person looks at people with an angry eye to show that he/she does not like them, because of a lack of loving upbringing in life. He/she does it without even being ashamed in life.
So he/she is jealous to the point of resenting it in his/her heart when others are successful, because of such lack of loving upbringing that can allow him/her to take care for others in life. That is why people say that, “one who has an evil eye is not ashamed and one who is jealous is not ashamed.”
This saying is equated to a person who likes to do evil through his eyes, in his life. Such person commits these evils without even feeling ashamed because of his habit of doing so, in his life. He is at odds with many people in his village because of his evil actions in life.
This person is similar to the one who had an evil eye on his/her colleagues, because he also does evil through his eyes and even without being ashamed in his life. That is why people tell him that, “one who has an evil eye is not ashamed and one who is jealous is not ashamed.”
This saying teaches people on how to stop doing evil deeds in their lives, so that they can raise their families well, in their societies.
Matthew 6:22-23.
Matthew 5:29-30.
Galatians 5:16-26.
Genesis 30:1.
Job 5:2.
James 3:16.
