Imbuki ya kahayile kenako, iholelile higulya ya gucha go ng’wa munhu. Umunhu ulu ucha agagayiyagwa inguzu ja gwiyambilija weyi ng’winikili kunguno ya gugayiwa bhupanga. Uweyi agambilijiyagwa na bhanhu abha bhalimhola bho gumika na gubhahoyela abha bhachilagwa aha kaya yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki “gucha gwigunanha.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhagunanhaga abhanhu abha bhadidujije, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo alinisungu lya gubhajika abhachi na gubhalombela kunguno ya bhutogwa bhokwe bhutale ukubhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga mbango ja gwikala bho mholele chiza nabhiye aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya lisungu lyakwe linilo ukubhachi bha umuchalo jakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhambilijaga abhachi bho kubhabhika chiza, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhachi bhenabho bho gubhalombela, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “gucha gwigunanha.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nisungu lya gubhabhiika na gubhalombela abhabhi, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala bho mholele chiza na bhichabho, umukaya jabho.
Luka 23:50-53.
Waebrania 12:15-16.
Yeremia 31:15.
KISWAHILI: KUFA KUSAIDIANA.
Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya kufa kwa mtu. Mtu akifa hukosa uwezo wa kujitegemea yeye mwenyewe kwa sababu ya kutoweka kwa uhai wake. Yeye husaidiwa na watu waliowazima kwa kumzika na kuwafariji wale waliofiwa kwa kuongea nao kwenye familia hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kufa kusaidiana.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia wale wasiojiweza, katika maisha yake. Mtu huyo, ana huruma ya kuwazika wafu na kuwaombea kwa sababu ya upendo wake ulivyo mkubwa kwa watu wake hao, maishani mwake. Yeye hupata Baraka za kuishi kwa amani katika familia yake, kwa sababu ya huruma yake hiyo, kwa wafu wa kwenye kijiji chake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyewasaidia wafu kwa kuwazika, kwa sababu naye huwasaidia wahitaji hao kwa kuwaombea, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “kufa kusaidiana.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na huruma ya kuwazika na kuwaombea wafu wao ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa amani na wenzao, katika familia zao.
Luka 23:50-53.
Waebrania 12:15-16.
Yeremia 31:15.
ENGLISH: DYING TO HELP EACH OTHER.
This saying talks about a death of a person. When a person dies, he loses an ability to depend on himself because of a disappearance of his life. He is helped by the living people by burying him and comforting the bereaved by talking to them in the family. That is why people say that, “dying to help each other.”
This saying is paralleled to a person who helps those who are helpless, in his life. Such person has compassion of burying the dead and praying for them because of his great love for his people. He gets blessings of living in peace in his family, because of his compassion for the dead in his village.
This person is similar to those who helped the dead by burying them, because he also helps the needy by praying for them, in his life. That is why they say that, “dying to help each other.”
This saying teaches people about having compassion for burying and praying for their dead so that they can get the blessings of living in peace with their people, in their families.
Luke 23:50-53.
Hebrews 12:15-16.
Jeremiah 31:15.
