1210. LWINZI LWISE LO MASHISHIWE.

Amashishiwe gali mageleshi ayo gagikalaga madamu guti mawe. Bhalihoyi bhanhu abho bhakumbaga lwinzi umuchalo jilebhe. Abhanhu bhenabho bhagalipunila ligeleshi ilo lyalilidimu guti liwe. Abhoyi bhagigulambija gukumba bho gutumila masala gabho chiza mpaga nose bhugapandika maminzi ayo bhagasholaga. Hunagwene bhagayomba giki, “Lwinzi lwise lo mashishiwe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigulambijaga gutumama milimo midimu bho gutumila masala gakwe chiza mpaga uyimala chiza, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe bho gwiganika chiza na wiyumilija bhutale kunnguno ya bhukamu bhowe ubho gutumama milimo bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza chiniko, aha kaya yakwe yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagigulambija gukumba lwinzi lo ha mageleshi mpaga bhuduja ugupandika aminzi, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo midimu bho gutumila masala mingi mpaga oyimala chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “Lwinzi lwise lo mashishiwe.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gutumila masala chiza mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umukaya jabho.

Kutoka 3:7-10.

Mwanzo 11:1-8.

KISWAHILI: KISIMA CHETU KINA MIAMBA.

Miamba hiyo ni aina ya mawe yenye ugumu wa kuweza kuvunjika kiraisi yanapogongwa kwa nguvu. Walikuwepo watu waliokuwa wakichimba kisima kwenye kijiji fulani. Watu hao, walikumbana na aina hiyo ya mawe yaliyowapatia ugumu katika kuchimba. Wao walijibidisha kuchimba kwa kutumia akili zao vizuri mpaka mwishowe wakayapata maji waliokuwa wakiyatafuta. Ndiyo maana walisema kwamba, “kisima chetu kina miamba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kufanya kazi ngumu kwa kutumia akili zake vizuri mpaka anazimaliza, katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, huzitekeleza kazi zake kwa kufikiri vizuri na kwa uvumilivu mkubwa mpaka anazimaliza, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi sana kwenye familia yake, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliojibidisha kuchimba kisima chenye miamba mpaka wakayapa maji, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi ngumu mpaka anazimaliza vizuri, katika kazi zake. Ndiyo maana husema kwamba, “kisima chetu kina miamba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa kutumia akili zao vizuri, mpaka wanazikamilisha vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi, katika familia zao.

Kutoka 3:7-10.

Mwanzo 11:1-8.

ENGLISH: OUR WELL HAS ROCKS.

Rocks are types of hard stones which are hard to break when someone hits them. There were people who were digging a well in a certain village. Those people encountered those kinds of stones which made their work difficult for them to dig. They had to dig by using their minds well until they finally found some water which they were looking for. That is why they said that, “our well has rocks.”

This saying is equated to a person who tries to do hard works by using his mind well until he finishes them, in fulfilling his responsibilities. Such person carries out his tasks by thinking well and with great patience until he finishes them, because of his hard working situation in his life. He achieves success of having a lot of wealth in his family, because of his hard working life.

This person resembles to those who had to dig a well with rocks until they got some water, because he also does hard works until he finishes them well, in his works. That is why he says that, “our well has rocks.”

This saying teaches people about working hard enough to finish their jobs by using their minds well, so that they can get successes of having a lot of wealth, in their families.

Exodus 3:7-10.

Genesis 11:1-8.

people-6556791_1280

 

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.