Olihoyi munhu uyo agageniha ha bhukwiye. Umunhu ng’wunuyo, agimaga gusula bhuli hene mpaga nose agasula ng’wibhelele lya ng’wa nina bhukwi okwe, kunguno ya bhugimu bhokwe bhunubho. Hunagwene unina bhukwi okwe ng’winuyo, agang’wila giki, “ogima gusula ng’wifuma lyane.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina soni umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agagimaga gwita mihayo ya soni ha bhutongi ya bhanhu bhakwe, kunguno ya bhugimu bhokwe bhunubho. Uweyi agipondaga soni aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya gwita mihayo ya soni ha bhutongi ya bhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu nkwilima uyo agagima gusula ng’wib’eleb’ele lya nina bhukwi okwe, kunguno agagimaga gwita mihayo ya soni habhutongi ya bhanhu bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene umo obhanhu bhakwe bhenabho agang’wila giki, “ogima gusula ng’wifuma lyane.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhugimu bho gwita mihayo ya soni ha bhutongi bho bhanhu bhabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Yoshua Bin Sira 33:14.
Waefeso 6:1-3.
KISWAHILI: UMETHUBUTU KUCHUNGULIA KWENYE GHALA LANGU.
Alikuwepo mtu aliyeenda ugenini ukweni kwake. Mtu huyo, alithubutu kuchungulia kwenye ghala la mama mkwe wake, kwa sababu ya kutokuwa na mipaka kwake huko. Ndiyo maana mama mkwe wake alimwambia kwamba, “umethubutu kuchungulia kwenye ghala langu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu asiyekuwa na adabu katika maisha yake. Mtu huyo, huthubutu kufanya mambo ya aibu mbele ya watu wake, kwa sababu ya kukosa adabu kwake huko. Yeye hujiaibisha mwenyewe kweye familia yake kwa sababu ya kutenda kwake mambo ya aibu mbele ya watu wake hao, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyethubutu kuchungulia kwenye ghala la mama mkwe wake huyo, kwa sababu naye hudiliki hutenda mambo ya aibu mbele ya watu wake hao, katika maisha yake. Ndiyo maana mmoja wa watu wake hao, humwambia kwamba, “umethubutu kuchungulia kwenye ghala langu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na adabu ya kuacha kutenda mambo ya aibu mbele ya watu wao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
Yoshua Bin Sira 33:14.
Waefeso 6:1-3.
ENGLISH: YOU DARED TO LOOK INTO MY STOCKROOM.
There was a man who went abroad to the house of his wife’s mother. Such man dared to look into his mother-in-law’s warehouse, because of his not having limitations in life. That is why his mother-in-law told him that, “you dared to look into my stockroom.”
This saying is paralleled to a person who has no manners in his life. Such person dares to do shameful things in front of his people, because of his lack of good manners. He embarrasses himself front of his family members because of his shameful actions in front of them, in his life.
This person resembles the one who dared to look into his mother-in-law’s barn, because he also does shameful things in front of his people in life. That is why one of them, tells him that, “you dared to look into my stockroom.”
This saying teaches people about having good manners enough to stop doing shameful things in front of their people, so that they can raise their families well, in their societies.
Joshua Bin Sirach 33:14.
Ephesians 6:1-3.
