Akahayile kenako kahoyelile higulya ya kasiminzile ka Nshiya. Unshiya ng’wunuyo, agajaga bho gwibhisa bhisa niyo b’o gupanda hado hado ulu agashiya kugiki adizigwiwa na gubhonwa. Uweyi agajaga bho gwibhanda iki adahayile ugumanyika kunguno amanile igiki iyo agiitaga idi yawiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nshiya adi adina nkindo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ugujiita iyabhubhi yiniyo, bho gwibhanda ukunhu alipanda hado hado kunguno ya giki adizigwiwa na gubhona na bhanikili abho alibhitila iyabhubhi yiniyo. Uweyi agikalaga na wibhakizu aha kaya yakwe kunguno ya kutumama mihayo yakwe iyabhibhi yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nshiya uyo agajaga ugujiita iyabhubhi yiniyo, bho gwibhisa ukunu alipando hado hado, kunguno nuweyi agaitumamaga imihayo iyabhubhi yiniyo, bho gwibhisa, kugiki adizubhonwa nabho alibhitila iyabhibhu yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nshiya adi na nkindo.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwita mihayo ya bhubhi, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umu kaya jabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 5:27-37.
Mathayo 10:26-28.
KISWAHILI: MZINZI HANA KISHINDO.
Msemo huo, huongelea juu ya mzinzi. Mzinzi huyo, huenda kutekeleza lengo lake kwa kujificha huku akikanyaga pole pole ili asisikiwe. Yeye huenda kwa kujificha ili asijulikane kwa sababu anafahamu kuwa anachokifanya ni kiovu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mzinzi hana kishindo.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda maovu katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kutekeleza uovu wake huo kwa njia ya kujificha, na hukanyaga pole pole kwa sababu hataki kujulikana, anapoutekeleza uovu wake. Yeye huishi kwa wasiwasi kwenye familia yake, kwa sababu ya kutenda kwake maovu hayo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule mzinzi aliyeenda kutekeleza kitendo chake kwa kujificha, kwa sababu naye hutekeleza uovu wake kwa kujificha ili asijulikane kwa watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mzinzi hana kishindo.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kutenda maovu katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani katika familia zao, maishani mwao.
Mathayo 5:27-37.
Mathayo 10:26-28.
ENGLISH: THE ADULTERER HAS NO VOICE.
This saying talks about an adulterer. The adulterer, may carry out his goal by hiding while treading slowly so as not to be heard. He goes in hiding so as not to be known because he knows that what he is doing is evil. That is why people tell him that, “the adulterer has no voice.”
This saying is compared to the person who does evil in his life. Such person does his evil in a hidden way, and steps slowly because he does not want to be known, when he carries out such evil. He lives in worry in his family, because of his doing those evil things, in his life.
This person resembles the adulterer who went to carry out his evil act in hiding, because he also carries out his evil in hiding so that he is not known to people, in his life. That is why people tell him that, “the adulterer has no voice.”
This saying imparts in people an idea of stopping doing evil in their lives, so that they can live peacefully in their families.
Matthew 5:27-37.
Matthew 10:26-28.


