928. KALAGU – KIZE. NAGAB’ASINZILA ABHANA BHANE NG’OMBE B’ULYA NYAMA B’UGUHANGA UNKILA GUB’I NG’OMBE – IGUWA.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile bhub’inzi na bhuli wi guwa bho bhanhu. Iliguwa linilo, jilijiliwa ijo jigaliwagwa guti ligagi lya bhusiga. Ilyoyi ulu ulilya ulimala ligasagilaga ilitindi ilo ligahambagwa lyab’iza iguwa hangi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “nagab’asinzila abhana bhane ng’ombe b’ulya nyama b’uguhanga untila gub’i ng’ombe – iguwa.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli nimi uyo agasajaga mbiyu ja gudula gulimila migunda mitale ya kumpandikila jiliwa jingi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalimaga migunda mitale iyo igampandikilaga jiliwa ijo agajilyaga mpaka utuula mbiyu ja gulimila migunda mitale bhuli ng’waka, aha kaya yakwe, kunguno ayidebhile isolobho ya mbiyu jinijo. Uweyi agapandikaga sabho ninyi kunguno ya b’utuuji bhokwe bho mbiyu jinijo, ijo jigang’winhaga bhusabhi bhutale, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhana abho bhagalya ligulwa bhulihamba ilitindi lyalyo lyub’iza iguwa, kunguno nuweyi agahambaga imbuyi ja jiliwa jakwe, opandika jiliwa jingi, umubhulimi bhokwe. Uweyi agabhalanga abhana bhakwe ugusaga mbiyu ja gulimila bhuli ng’waka, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nagab’asinzila abhana bhane ng’ombe b’ulya nyama b’uguhanga untila gub’i ng’ombe – iguwa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gusaja mbiyu ja guhamba hangi bhuli ng’waka, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:8.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NILIWACHINJIA WANANGU NG’OMBE WAKALA NYAMA WAKAUPANDA MKIA UKAWA NG’OMBE – MUWA.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia ukataji na ulaji wa muwa walio nao watu. Muwa ni chakula ambacho huliwa kama mbua wa mtama. Muwa huo ukiliwa hubakia sehemu isiyokomaa ya mwishoni ambayo hupandwa na kuwa muwa tena. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “niliwachinjia wanangu ng’ombe wakala nyama wakaupanda mkia ukawa ng’ombe – muwa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mkulima yule anayebakisha mbegu za kupanda mashamba makubwa ya kumpatia mavuno mengi kila mwaka, katika maisha yake. Mtu huyo, hulima mashamba makubwa ambayo humpatia mafuno mengi, ya kutumia hadi kusaza kama mbegu za kutosha kumsaidia kulima mashamba mengine makubwa zaidi kila mwaka. Yeye huyalima mashamba hayo makubwa kila mwaka kwa sababu ya kuielewa faida ya kutunza mbegu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na watoto wale waliokula muwa wakapanda mbegu ya sehemu iliyobakia, kwa sababu naye hutunza mbegu za kupanda kila mwaka, katika kilimo chake. Yeye huwafundisha pia watoto wake namna ya kutunza mbegu hizo na kuzitumia kila mwaka. Ndiyo maana yeye huwaambia watu wake kwamba, “niliwachinjia wanangu ng’ombe wakala nyama wakaupanda mkia ukawa ng’ombe – muwa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kutunza mbegu za kuwawezesha kulima makubwa makubwa kila mwaka, ili waweze  kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Mathayo 13:8.

sugarcane-

 

sugarcane1

sugarcane-2

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I SLAUGHTERED A COW FOR MY CHILDREN WHO ATE MEAT AND PLANTED A TAIL WHICH BECAME A COW – SUGARCANE.

This riddle speaks about the cutting and eating of sugarcane that people have. Sugarcane is a food that is eaten like millet tree. When it is eaten, the remaining sugarcane is the unripe part of the plant, which is replanted. That is why people say to one another that, “I slaughtered a cow for my children who ate the meat and planted a tail which became a cow – Sugarcane.”

This riddle is compared to a farmer who sows seed on a large field and harvests a good crop each year, in his lifetime. This man cultivates large plots of land that provide him with a good harvest, which he can use for growing many seeds enough to help him in cultivating other large fields each year. He cultivates these large fields every year because he understands the benefits of seed caring, in his lifetime.

This man, like the children who ate the sugarcane and planted the seed of the rest of the field that produced others crops, because he also takes care of the sowing seed every year, in his cultivation. He also teaches his children on how to take care of the seeds enough to use them year after year. That is why he tells his people that, “I slaughtered a cow for my children who ate the meat and planted a tail which became a cow – sugarcane.”

This riddle teaches people on how to take care of the seeds that will enable them to grow big crops every year, so that they can have more successes in their lives.

Matthew 13: 8.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.