Ikalagu yiniyo, ilolile jigata ja nzuki. Ijigata jinijo, jidabhejaga jose jose ijagwiyambilija inzuki ugubheja ub’uki. Ijoyi jili wikalo duhu bho nzuki jinijo. Unimo ugogub’eja ubhuki, guli go nzuki njinikili. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “inungu ja ng’wipolu jidab’azugilaga ab’azugi b’ajo b’agabishaga – jigata ja nzuki.”
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agibhegejaga ng’winikili bho gwicholela ijiliwa ja ha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina bhugagaja bhutale ubho gwicholela ijiliwa bho gutumila nzila ja gwib’egeja weyi ng’winikili. Uweyi agapandikaga jiliwa ja gudula gub’alisha pye abhanhu b’a hakaya yakwe, kunguno ya bhugagaja bho masala gakwe genayo, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki ijo jigib’egejaga jiliwa njinikili, kunguno nuweyi agabhutumilaga ubhugagaja bho masala gakwe ugwib’egeja ijiliwa ja hakaya yakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe nzila ja gwib’egeja ijiliwa jabho b’inikili. Hunagwene agabhawilaga giki, “inungu ja ng’wipolu jidab’azugilaga ab’azugi b’ajo b’agabishaga – jigata ja nzuki.”
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhugagaja bho gwib’egeja ijiliwa jabho bho gutumila masala gabho, kugiki bhadule kupandika jiliwa ja gub’alisha abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 16: 24-25.
KITENDAWILI – TEGA.
CHUNGU CHA POLINI HAKIWAPIKII WAPISHI WAKE WANAIVISHA – MZINGA WA NYUKI.
Kitendawili hicho, huangalia mzinga wa nyuki. Mzinga huo, hautengenezi chochote cha kuwasaidia hao nyuki katika kutengeneza asali. Wenyewe ni makao tu ya nyuki hao. Kazi hiyo ya kutengeneza asali ni ya nyuki wenyewe. Ndiyo maana watu husema kwamba, “chungu cha polini hakiwapikii wapishi wake wanaivisha – mzinga wa nyuki.”
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujitegemea mwenyewe katika kujitafutia chakula cha familia yake. Mtu huyo, ana ubunifu mkubwa wa kujitafutia chakula hicho kwa kutumia njia za kujitengenezea yeye mwenyewe. Yeye hupata mafanikio mengi ya kumwezesha kuilisha chakula familia yake na yeye mwenyewe, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na nyuki ambazo hujitegemea katika kujitengenezea chakula chao wenyewe, kwa sababu naye hujitegemea katika kujitafutia chakula kwake mwenyewe na cha kuilisha familia yake. Yeye huwafundisha pia watu wake juu ya njia za kutengenezea chukula yeye mwenyewe. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “chungu cha polini hakiwapikii wapishi wake wanaivisha – mzinga wa nyuki.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na ubunifu wa kujitengenezea chakula chao kwa kutumia akili zao, ili waweze kupata chakula cha kutosha kuwalisha wao na watu wao, maishani mwao.
Mathayo 16: 24-25.
I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
A FOREST POT DOES NOT COOK FOR ITS COOKS – BEEHIVE.
This riddle looks at the beehive. The beehive does not produce anything to help the bees in making honey. It is just the settlement of those bees. The work of making honey is for the bees themselves. That is why people say that, “a forest pot does not cook for its cooks – the beehive.”
This riddle is compared a man who is self-sufficient in providing food for his family. He is very creative in his search for food through self-preparation. He finds great success in enabling him to feed his family and himself, in his lifetime.
This man is like a bee that is self-sufficient in making its own food, because he is also self-sufficient in providing food for him and for feeding his family. He also teaches his people on how to make food for themselves as well as for others who depend on them. That is why he tells people that, “a forest pot does not cook for its cooks – the beehive.”
This riddle instills in people an idea on how to be creative in making their own food by using their minds, so that they can get enough food to feed themselves and their people, in their lives.
Matthew 16: 24-25.