Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile ng’humbi. Ing’humbi yiniyo, iginhiyagwa jililwa ija gufumila kunomo, yajanukala duhu. Iyoyi nulu agalya uyo alinayo wiguta ikanza idoo duhu igutuubha na gulomba jiliwa jingi hangi, kunguno idalumbaga. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “unhabhi ng’wunuyu mumo ugang’winhila adalumbaga – ng’humbi.”
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo aginhagwa jikolo ukija ugulumba, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agambilijiwagwa bho gwinhiwa sabho, hamo na bhiye nulu na Mulungu, ojimala na kulomba jingi bho ndulu nulu gulumbilija. Uweyi agabhagwishaga ng’holo abhambilija bhakwe, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’humbi iyo iginhagwa jiliwa bho nduhu ugulumba, kunguno nuweyi agambilijiwagwa okija ugulumba, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “unhabhi ng’wunuyu mumo ugang’winhila adalumbaga – ng’humbi.”
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhulumbi ukuwambilijiwa ubho bhagabhupandikaga gufumilila kuli Mulungu nu kubhichabho, kugiki bhadule gwikala na mbango, umuwikaji bhobho.
Luka 17: 11-19.
Mathayo 5:3.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
MASKINI HUYU HATA UUMPE NAMNA GANI HANA SHUKRANI – TUMBO.
Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia tumbo na upokeaji wake wa chakula. Tumbo hilo hupokea chakula kinacholiwa na mlaji bila kutoa shukrani. Lenyewe hata likishiba huanza kujisikia njaa baada ya muda mfupi tu. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “maskini huyu hata uumpe namna gani hana shukrani – tumbo.”
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hana shukrani anaposaidiwa, maishani mwake. Mtu huyo, husaidiwa kwa kupewa mali na Mungu na wenzake, akazimaliza na kuomba tena, bila kutoa shukrani kwa mpaji wake. Yeye huwavunja moyo wale wanaomsaidia, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na lile tumbo ambalo hupokea chakula mara nyingi bila kutoa shukrani kwa mpaji wake, kwa sababu naye humaliza vitu anavyopewa na kuomba tena bila kutoa shukrani, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “maskini huyu hata uumpe namna gani hana shukrani – tumbo.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa shukrani kwa misaada wanayopewa katika maisha yao, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri kwenye familia zao.
Luka 17: 11-19.
Mathayo 5:3.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
HOWEVER YOU GIVE THIS POOR HAS NO GRATITUDE – STOMACH.
This riddle looks at the stomach and its reception of food. This stomach receives food which is eaten by the eater without giving thanks. Even when it is full, it begins to feel hungry after only a short time. That is why people tell each other that, “however you give this poor has no gratitude – stomach.”
This riddle is compared to the person who is ungrateful when he is helped by others, in his life. This person is normally assisted by being given wealth by God and his companions. He finished it and starts to ask for another food again, without giving thanks to his giver. He discourages those who help him in his life.
This person is like the stomach that often receives food without giving thanks to its giver, because he also consumes the things which are given to him asks for another food again without giving thanks to those who help him in his life. That is why people say to him that, “however you give this poor has no gratitude – stomach.”
This riddle imparts in people an idea on how to be grateful to those who help them in their daily lives, so that they can receive blessings for living well with their societal members in their families.
Luke 17: 11-19.
Matthew 5: 3.