Olihoyi namhala umo na kana kakwe uyo odimaga ng’ome. Umubhudimi bhokwe bhunubho, lushigu lumo ng’ombe igabyala wandya guitula bho guyihadikija guja kaya. Ing’ombe yiniyo, igalema ugutongela uguja ikaya bho gunuka kunuma ung’wana oyo. Nose akanigini kung’wila, “b’ab’ba kabhuchage akana kayo utongele guja kaya uninago agugulondeja duhu ahanuma.”
Unamhala ng’wunuyo, aho okab’ucha akana kayo utongela uguja ikaya, uninago agalondeja ahanuma mpaga bhushika kaya chiza. Abhanhu bhudeb’a igiki unamhala ng’unuyo olangagwa na kanigini kakwe kenako. Hunagwene akanigiki kenako kagitanwa giki, “jilanga b’aduma.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu wilika idoo uyo agayombaga mihayo ya nyatale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’unuyo, nulu agisanja na bhanhu bhatale bhagumanishogeja nang’hwe nyatale chiza duhu. Uweyi agabhambilijaga abhanhu bhenabho nulu gufuma bhulamuji bho ng’hana, umuwikaji bhobho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na kanigini ako kagananga unamhala ogo ugwichala kaya ing’ombe nu ng’wana oyo, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhatale ugufunya ubhulamuji ubho ng’hana, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jilanga b’aduma.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza na kihamo, kugiki bhadule kujib’eja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Kutoka 19: 7-10.
Mathayo 5: 19.
Luka 2: 41 – 52.
KISWAHILI: MFUNDISHA WAKUBWA.
Alikuwepo mzee mmoja na mtoto wake aliyekuwa akichunga ng’ombe. Siku moja ng’ome mmoja alizaa, katika uchungaji wake huo, akaanza kumsuaga ili aende nyumbani. Ng’ombe huyo, alitakaa kutangulia kwenda nyumbani kwa kuamuacha nyumba mtoto wake. Mwishowe yule mtoto akamwambia, “baba mbebe mtoto wake utangulie kwenda nyumbani yule mama yake atakufuata tu kwa nyuma.”
Mzee yule, alipombeba mtoto wa yule ng’ombe mama yake alifuata kwenda nyumbani mpaka wakafika vizuri. Watu wakaelewa kwamba yule mzee amefundishwa na mtoto wake huyo kumpeleka nyumbani yule ng’ombe. Ndiyo maana walimuita yule mtoto kuwa ni “mfundisha wakubwa.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyeko kwenye lika la ujana aongeaye maneno ya kikubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hata akichangamana na watu wakubwa, watakuwa wakijibizana naye kikubwa vizuri. Yeye huwasaidia watu hao hata kutoa maamuzi ya kweli, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule mtoto aliyemfundisha mzee wake kumpeleka mpaka nyumbani ng’ombe aliyezaa, kwa sababu naye huwasaidia watu wakubwa katika kutoa maamuzi ya kweli, katika maisha yake. Ndiyo maana watu huwa wanamuita mtoto huyo kuwa ni “mfundisha wakubwa.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri na kwa pamoja majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
Kutoka 19: 7-10.
Mathayo 5: 19.
Luka 2: 41 – 52.
ENGLISH: THE ONE WHO TEACHES THE GREAT ONES.
There was an old man with his son who was taking care of cattle. One day one of the cows gave birth, and in his pasture. He began to take the cow home. The cow, however, refused to go home first by leaving behind her calf. Finally the child said to him, “Father, carry her calf first and go home the mother will just follow you in the back.”
The old man carried the calf and its mother followed him to his home until they arrived safely. People understood that the old man had been taught by his son to take the cow home. That is why they called that child “the one who teaches the great ones.”
This saying is compared to a young man who speaks important words in his life. He even associates with the older ones by talking with them because of his useful ideas in his mind. He helps those people in making good decisions in life.
This young man is like the child who taught his father on how to take the cow home, because he also helps adults in making good decisions, in his life. That is why people often call that child “the one who teaches the great ones.”
This saying teaches people on how to be humble enough to help each other in fulfilling their responsibilities in their communities, so that they can quickly develop their families, in their lives.
Exodus 19: 7-10.
Matthew 5:19.