Ulusumo lunulo, lulolile ndimu iyo igitanagwa mh’uge. Imh’uge yiniyo ili na matu gimilile ayo gagabhizaga gagandya ugugabhona umunhu uyo alikutongi yago. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ulu ub’ona gutu gwa mh’uge managa imh’uge iliho ukunuma.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhambilijaga abhiye ugugamala wangu amakoye gabho, umukikalille kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga nzila ndogu ija gubhahugula abhanhu bhakwe ijo jigabhalumanyaga kihamo umubhutumami bhokwe mpaka bhagadebha amakoye gabho na gugamala wangu, umuwikaji bhobho.
Uweyi agadulaga ugubhambilija chiza abhanhu bhakwe umumakoye gabho kunguno ya bhutogwa ubho alinabho ukubhiye bhenabho. Hunagwene abhanhu agabhahugulaga bho gubhawila giki, “ulu ub’ona gutu gwa mh’uge managa imh’uge iliho ukunuma.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gwiyambilija chiza ugugamala wangu amakoye gabho kugiki bhadule gwilang’hana chiza, umuwikaji bhobho.
Mathayo 3: 11-17.
Mathayo 21:1-3.
Yohana 1:15-16.
Yohana 1: 29-34.
KISWAHILI: UKIONA SIKIO LA MBWA MWITU FAHAMU MBWA MWITU YUKO NYUMA.
Methali hiyo, huangalia mnyama anayeitwa mbwa mwitu. Mbwa mwitu huyo ana masikio yaliyosimama kiasi kwamba anapotembea yenyewe huwa ni ya kwanza kwa mtu kuyaona. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ukiona sikio la mbwa mwitu fahamu mbwa mwitu yuko nyuma.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia wenzake kutatua matatizo yao kwa haraka, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia njia rahisi za kuwashitua wenzake hao ambazo huwawezesha kuyaelewa matatizo yao na kuyatatua kwa haraka, maishani mwao.
Mtu huyo, huweza kuwasaidia vizuri watu wake katika kuyatatua matatizo yao, na kuyamaliza kwa haraka kwa sababu ya upendo alio nayo kwa watu wake hao. Ndiyo huwa ana washitua kwa kuwaambia kwamba, “ukiona sikio la mbwa mwitu fahamu mbwa mwitu yuko nyuma.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kusaidiana vizuri katika kuyatatua matatizo yao kwa haraka, ili waweze kulindana vizuri, maishani mwao.
Mathayo 3: 11-17.
Mathayo 21:1-3.
Yohana 1:15-16.
Yohana 1: 29-34.
ENGLISH: IF YOU SEE A WOLF’S EAR, KNOW THE WOLF IS IN THE BACK.
This proverb looks at an animal which is called wolf. This wolf has standing forward ears that when it walks they become the first to appear to a person. That is why people say, “If you see a wolf’s ear, know that the wolf is in the back.”
This proverb is compared to a man who helps his contemporaries to solve their problems quickly, in his life. This person, in turn, uses simple methods to shock his fellows, for enabling them to understand their problems enough to solve them quickly, in their lives.
This person is capable of helping his people to solve their problems, enough to get rid of them quickly because of the love he has for them. Yes, he is shocked when he tells them, “If you see a wolf’s ear, know that the wolf is in the back.”
This proverb instills in people an idea on how to love each other better enough to help one another in solving their problems quickly, so that they can better protect each other, in their lives.
Matthew 3: 11-17.
Matthew 21: 1-3.
John 1: 15-16.
John 1: 29-34.