Akahayile kenako, kalolile b’uyungi b’o mashokelelwa ukubhasimbi b’a ng’ana. Abhasimbi bha ng’ana bhenabho bhagasolaga salu ijo jayungwana bhichabho bhusola moi ing’ana, bhandya gujisholela ugujiyunga hangi. Giko lulu, igabhizaga jilambu ugupandika abhoyi ing’ana moi, kunguno jasolwa na bhichabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki bhaginojaga sagala bho “guyunga mashokelelwa.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agashokelaga guyomba mihayo iyo imanyikile ukubhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyomba imihayo b’o gumana uishokela kunguno ya bhudizu bhokwe ubho yuyideb’u imihayo iyo igikalaga imanyikile ukubhanhu. Uweyi aginojaza sagala umubhulomeji bhokwe bhunubho, kunguno ya bhoshokeji bho guyomba imihayo iyo imanyikile ukubhanhu, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhasimbi b’a ng’ana abho bhashokelaga guyunga salu umo jasolwa ing’ana na bhichabho, kunguno nuweyi agashokelaga guyomba mihayo iyo imanyikile ukubhanhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki aginojaga bho ‘guyunga mashokelelwa /mahehelwa.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gujimija makanza gabho bho gushokela guyomba mihayo iyo imanyikile ukubhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Marko 15: 1 – 5.
Yohane 9: 24 – 28.
KISWAHILI: KUCHEKECHA MARUDIO.
Msemo huo, huangalia uchekechaji wa marudio ya mchanga uliochekechwa kwa wachimbaji wa madini. Wachimbaji hao wa madini, huchukua mchanga uliochekeshwa na watu waliochukua madini kutoka humo, na kuanza kuuchekecha tena. Hivyo basi, huwa ni vigumu kwao kupata madini kutoka kwenye mchanga huo. Ndiyo maana watu huuita upotezaji huo wa muda kuwa ni “kuchekecha marudio.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno yanayofahamika kwa watu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anaongea maneno kwa kuyarudia kwa sababu ya ugumu wake wa kuyaelewa yale yanayofahamika kwa watu. Yeye hujichosha bure kwa kurudia kukisema mara nyingi kile kinachofahamika kwa watu, maishani mwake.
Mtu huyo hufanana na wale wachimbaji wa madini waliochekecha marudio ya mchanga, kwa sababu naye hurudio kuongea maneno yanayofahamika kwa watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba yeye hujichosha bure kwa “kuchekecha marudio.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kupoteza muda wao kwa kurudia kuogea neno ambalo linafahamika kwa wenzao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
Marko 15: 1 – 5.
Yohane 9: 24 – 28.
ENGLISH: TO SIFT THE REITERATION.
This saying looks at the comical repetition of sand that has been dug by miners. These miners, in turn, take such sand and begin to process it again. As a result, it becomes difficult for them to extract minerals from that sand. That is why people call this waste of time as “to sift the reiteration.”
This saying is compared to the person who speaks words that are familiar to people, in his life. Such person often repeats words while speaking because of his or her difficulty in understanding on what is known to the people. He wears himself out in vain by repeatedly saying what is known to the people, in his life.
This man is like the miners who sifted the repetition of the sand, because he also returns to speak words that are familiar to people, in his life. That is why people tell him that he gets tired “to sift the reiteration.”
The saying imparts in people a clue on how to stop wasting their time by repeating the word that is known to their people, so that they can better raise their families, in their lives.
Mark 15: 1-5.
John 9: 24-28.