Ugwib’ala ili gumhucha munhu kungongo. Abho bhagib’alagwa nono bhali bhanhu abho bhatali bhanigini. Abhenabho, bhagakongagwa na bhaninabho bho gub’uchiwa chene.
Kuyiniyo lulu, ulu munhu ntale wib’alwa igolechacha bhulemelwa bho guziminza hamo kunguno nulu ya sada. Aliyo lulu, ulu munhu ntale uyo alimhola, uyomba chene mumho wib’engelejiyagwa bho gulenganijiwa na ng’wana. Hungwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, “ugunib’ala kungongo.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agahub’ilagwa na bhiye wiyangula gujumala shili, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agakolaga mpaga oja gujulipa shili ukubhanbu ab’o bhanhub’ilaga, umukikalile kakwe. Uweyi agikalaga alemile ugugeng’wa inyahala, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliogeng’wa nyahala ukolwa, kunguno nuweyi agahub’ilagwa opelana mpaga wiyangula guja gujulipa shili. Hunagwene agayombaga giki, “ugunib’ala kungongo.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gub’akolwa abhichabho kugiki bhadule kujilang’hana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 5: 43- 48.
Mathayo 5: 21 – 22.
Yohane 15: 9 – 10.
KISWAHILI: UTANIBEBA MGONGONI.
Kumbeba mgongoni ni kumwinua mtu ukiwa umemshikilia miguu yake mgongoni. Wanaobebwa kwa kawaida huwa ni watoto ambao hubembeleza kwa namna hiyo na mama zao.
Kwa hiyo, mtu mzima akibebwa mgongoni humaanisha kwamba hawezi kutembea kwa sababu mbalimbali zikiwemo zile za ugonjwa. Lakini mtu mzima akisema hivyo, maana yake amehisi hali ya kudharaliwa kwa kulinganishwa na mtoto mdogo. Ndiyo maana husema kwa hasira kwamba, “utanibeba mgongoni.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye akikosewa hukasirika na kuamua kwenda kulipa kisasi kwa yule aliyemkosea, katika maisha yake. Mtu huyo, hukasilika sana mpaka anafikia hatua ya kwenda kulipiza kisasi kwa yule aliyemkosea hata kama lile kosa lilitokea kwa bahati mbaya. Yeye huwa hataki kudharauliwa, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyefananishwa na mtoto mdogo agakasilika sana, kwa sababu naye akikosewa hukasilika mpaka kufikia hatua ya kuamua kwenda kulipa kisasi kwa yule aliyemkosea, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwa hasira kwamba, “utanibeba mgongoni.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kuwachukia wenzao, ili waweze kuzilinda vizuri familia zao, maishani mwao.
Mathayo 5: 43- 48.
Mathayo 5: 21 – 22.
Yohane 15: 9 – 10.
ENGLISH: YOU WILL CARRY ME ON YOUR BACK.
Carrying somebody on the back is to lift the person with his legs on it. The people who are carried by their mothers are usually children who cuddle in this way with their mothers.
Thus, carrying an adult on the back means that he or she cannot walk for a variety of reasons, including illness. But when an adult says so, it means he or she has felt humiliated compared to a younger child. That is why they angrily say that “you will carry you on my back.”
This saying is compared to the person who when offended, gets angry and decides to take revenge on the person who wronged him, in his life. This person is so angry that he goes to the point of retaliating against the person who wronged him, even though the offense was accidental. He does not want to be despised, in his life.
This person resembles to the one who was compared to the little child, became very angry, because when he was wronged he also became angry until he decided to go and take revenge on the person who wronged him, in his life. That is why he angrily says that “you will carry me on my back.”
This saying imparts in people an idea on how to stop the habit of hating others, so that they can better protect their families, in their lives.
Matthew 5: 43-48.
Matthew 5: 21-22.
John 15: 9-10.