Imbuki ya lusumo lunulo ilolile malub’i. Amalub’i jilinungu ijo jib’umbilwe na gulekwa duhu bho nduhu ugujitima. Giko lulu, ulub’iza b’aguji b’a nungu b’usanga jidatimile chiniko, ulu bhubhujiwa giki ali nungu ng’wajileka bhuli? Abhoyi bagushosaha giki ‘dasanga malub’i duhu jidinating’wa.’ Hunagwene bhagayombaga giki, “B’agashoka b’alub’i.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumama milimo yakwe bho nduhu uguimalija, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agayigelejaga bhunagi imilimo iyo agayandyaga guitumama, umukikalile kakwe. Uweyi agikalaga ukoyiwa na nzala akaya yakwe, kunguno ya bhutumami bhokwe bhunubho ubho guigeleja bhunagi imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhabhumbi ba malub’i, abho bhagabhumba nungu bhukija ugujitima, kunguno nuweyi agaigelejaga bhunagi imilimo yakwe, umutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu abho bhagayigaiwa imilimo yakwe, “b’agashoka b’alub’i.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuitumama imilimo yabho bho guishikilija chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija ujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 7:21-23.
Yohana 6: 60-71.
Mathayo 7: 24-29.
KISWAHILI: WALIRUDI PASIPO KUKAMILIKA.
Chanzo cha methali hiyo, chaangalia vyungu. Vyungu hivyo ni vile ambavyo vilivinyangwa na kuachwa tu bila kutiwa motoni. Hivyo wakija wanunuzi wa vyungu hivyo na kuvikuta havijatiwa motoni hivyo, wakiulizwa, kuwa ‘mbona vyungu mmeviacha?’ Wao watajibu kwa kusema kwamba, “havijakamiklishwa.” Ndiyo maana watu husema kwamba, “walirudi pasipo kukamilika.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake bila kuzikamilisha, katika utendaji wake wa kazi. Mtu huyo, huzianza kazi zake na kuziachia njiani kwa kuzitelekeza, katika maisha yake. Yeye husumbuliwa mara kwa mara na tatizo la kukosa chakula katika familia yake, kwa sababu ya utendaji wake huo wa kufanya kazi nusu bila kuzimaliza, maishani mwake.
Mtu huyo hufanana na wale wafinyanzi wa vyungu waliofinyangwa tu na kuviachwa bila kuvitia motoni, kwa sababu naye hufanya kazi bila kuzikamilisha katika utendaji wake wa kazi. Ndiyo maana watu waliohitaji kazi hizo, “walirudi pasipo kukamilika.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza kwa ukamilifu majukumu yao wanayoaanzisha, ili waweze kupata mafanikio ya mali za kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri familia, maishani mwao.
Mathayo 7:21-23.
Yohana 6: 60-71.
Mathayo 7: 24-29.
ENGLISH: THEY RETURNED INCOMPLETE.
The source of the overhead proverb looks at the pots. The pots are the ones that were made and left without burning them. So when the buyers of the pots came found that they have not been burned returned home without them. They were asked that, ‘why did you leave the pots?’ They answered answer by saying, “They are not finished.” That is why people say that “they returned incomplete.”
This proverb is compared to a person who does his duties without completing them, in his life. He begins doing his work but he leaves it by abandoning it, in his life. He is constantly overwhelmed by famine in his family, because of his half-life performance in doing his works.
This man resembles to those potters who did not burn their pots after making them, because he also does not finish his works which he starts in his life. That is why those who needed such service “they returned incomplete.”
This proverb teaches people how to fully carry out the responsibilities they set up, so that they can have the financial success enough to develop their families, in their lives.
Matthew 7: 21-23.
John 6: 60-71.
Matthew 7: 24-29.